DJ NYUKI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 370
- 89
Leo hii baada ya kiongozi wa upinzani bungeni mh Mbowe kutolewa nje, akichangia bungeni amesema yeye si kibaraka wa CCM kama watu wanavyodhani na kuwasema sana CHADEMA kwa vitendo vyao vya kutoka nje.
Mzee wa kiraracha alimuomba Pinda msamaha kwa kujaza fomu yakutokuwa na imani naye adai aliburuzwa tu.