Mrema kafanya nini?

Mrema kafanya nini?

Columbus

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
2,002
Reaction score
652
Kama vile amegundua ufisadi mwingine mkubwa, kuna mwenye details tafadhali atujuze kuhusu huyu Mzee wa Kiraracha baada ya kupata kikombe cha babu.
 
may be anangoja apate ful recovery mwachen thn 2pate nafac ya kumwona nin atakachofanya coz 2naona 2 mda unayoyoma hapa
 
Kwani amepata clinical verification kwamba kapona kisukari?
 
hajafanya chochote cha ajabu... madudu katika serikali za mitaa ni makubwa kiasi kwamba hata kipofu anayaona. watu wameconcentrate na ufisadi kwenye serikali kuu wakati kuna watu wametamalaki kwenye serikali za mitaa na wanajilia nchi taratibu. kwa sababu wka muda mrefu watu hawa wamekuwa wakila bila kufuatiliwa na yeyote, wamefikia hatua wamejisahau kiasi kwamba sasa hawana hata kificho kwenye wizi wao. wala aihitaji uchawi wowote kugundua wizi wao na zali alokutana nalo Mrema. Akiwa makini na nafasi aliyonayo Bungeni atatoka tena kisiasa maana hatoshiwa na mabomu
 
Back
Top Bottom