Mrejesho

Mrejesho

runtown

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
844
Reaction score
1,169
Baada ya mpenz wangu kupelekwa polis nilikuja kugundua hakulala central aliachiwa akarudi hom.

Ila bado kesi inaendelea na hajataka kunitaja kabisa.

Sasa mm kwenye harakati za kutafuta kazi ili niyajenge nikubalike kwe familia yao kuna mshkaji nimeongea nae sasa chating zake ni kama mchicha mwiba wadau nisaidien mawazo no docto wa hospital x mkoani morogoro



Ndege joni njoo nisaidie kumtambua huyu jamaa maana we mzoefu
IMG_20190119_222956_187.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona bora ungeomba jinsi ya uandishi kwanza kabla ya mapenzi.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom