Meridah Tough
Senior Member
- Nov 27, 2017
- 136
- 365
Wako habari zenu.
Mara kadhaa nimekuwa nikileta mada juu ya mahusiano yangu na kwa kweli nashukuru sana wanajukwaa kwa ushauri mbalimbali ambao kiukweli nimefaidika sana.
Baada ya mivutano mingi baina yangu na mwanaume huyo ambaye niliwahi kulalamika hapa kuwa hajui nini anahitaji katika maisha yake, sababu anakuwa na wanawake wengine hata kuonana nao hajawahi kuonana nao.
Kwa kweli, hali hiyo ilininyima raha na nikiona sababu ya kuendelea kuwa katika mahusiano hayo. Nikaamua kujiweka pembeni. Haikupita wiki, huyu jamaa alinitafuta na kuniomba tufungue ukurasa mpya na hizo tabia za wanawake hataziacha.
Kiukweli, trust juu yake nimeshtuka sana. Na niliona wazi hata nikirudi kwake, hatutadumu. Hivyo, nilimpa masharti ya kuthibitisha kauli yake kwa vitendo. Tujicommit na hata tufunge ndoa.
Hapo jamaa hakujibu chochote, na siku ya pili yake, alinitafuta kana kwamba hakuna nilichomwambia. Hapo ilinibidi kuwa mkali na nikamwambia kama hawezi kucommit, aendelee na mambo yake na asinitafute.
Kwa wale ambao mnadhani nimemzimikia sana jamaa, mpo sahihi. Lakini kamwe siwezi ruhusu hisia zangu zikanifanya niishi maisha yasiyo na future. And am so ready kufanya maisha mengine.
Mara kadhaa nimekuwa nikileta mada juu ya mahusiano yangu na kwa kweli nashukuru sana wanajukwaa kwa ushauri mbalimbali ambao kiukweli nimefaidika sana.
Baada ya mivutano mingi baina yangu na mwanaume huyo ambaye niliwahi kulalamika hapa kuwa hajui nini anahitaji katika maisha yake, sababu anakuwa na wanawake wengine hata kuonana nao hajawahi kuonana nao.
Kwa kweli, hali hiyo ilininyima raha na nikiona sababu ya kuendelea kuwa katika mahusiano hayo. Nikaamua kujiweka pembeni. Haikupita wiki, huyu jamaa alinitafuta na kuniomba tufungue ukurasa mpya na hizo tabia za wanawake hataziacha.
Kiukweli, trust juu yake nimeshtuka sana. Na niliona wazi hata nikirudi kwake, hatutadumu. Hivyo, nilimpa masharti ya kuthibitisha kauli yake kwa vitendo. Tujicommit na hata tufunge ndoa.
Hapo jamaa hakujibu chochote, na siku ya pili yake, alinitafuta kana kwamba hakuna nilichomwambia. Hapo ilinibidi kuwa mkali na nikamwambia kama hawezi kucommit, aendelee na mambo yake na asinitafute.
Kwa wale ambao mnadhani nimemzimikia sana jamaa, mpo sahihi. Lakini kamwe siwezi ruhusu hisia zangu zikanifanya niishi maisha yasiyo na future. And am so ready kufanya maisha mengine.