kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 18,389
- 22,950
Usimlaumu ,hayajakukuta unasahau kwenu mazima ,kwafaida TU usije mpa kiwanja au nyumba awe anakulindia mmakonde ,utakuja kukataa siopakoIla shangazi yenu ana roho ngumu sana. 40 years hataki kujua hata nduguze wana hali gani? Imagine watoto hamjuani si mnaweza oana na kuzalishana. It's a pity aisee
Naweka na msumari hapaUsimlaumu ,hayajakukuta unasahau kwenu mazima ,kwafaida TU usije mpa kiwanja au nyumba awe anakulindia mmakonde ,utakuja kukataa siopako
Aisee ๐๐๐งUsimlaumu ,hayajakukuta unasahau kwenu mazima ,kwafaida TU usije mpa kiwanja au nyumba awe anakulindia mmakonde ,utakuja kukataa siopako
Msisahau kumshukuru Mungu sana.Ama hakika mitandao ya kijamii ina nguvu.. ni masaa 24 tu toka niombe msaada wa kumpata huyu mtu.. ni tayari nimesaidiwa kumpata kwa nguvu za JamiiForum, FaceBook.
ASANTENI WADAU..ASANTENI SANA..kila wazo nililitumia ipasavyo... Na nimempata bila kusafiri. Ni miaka 40+ toka tupotezane na huyo mtu...MUNGU NI MKUBWA JAMANI. Ukoo mzima wamejawa na furaha. Ukoo ulipanga kuzika mgomba tu kama utamaduni kwa mwili ulopotea pasipo onekana.
Karibuni.. hivi sasa pana Ngelenge, mbege, kwa kuku choma wa kienyeji wazee wanafurahi...karibuni Mpapa Mbinga.
Pia Soma:
- Msaada: Namtafuta Renata Mapunda
Familia zina Siri nyingi sana!!Yaani mtu unakaa miaka zaidi ya 40, bila kuona Wala kuwasiliana na ndugu zako. Daah!!
Kwenye ugimbi wa kingoni mbege haimo ๐๐๐๐ labda kwenye familia yao Kuna member kaoa mchaga so anawaandalia mbegeWangoni na mbege wapi na wapi Sasa?
Nikiwa kama Mngoni asilia nimeshangazwa sana na hili suala la mbege ungonini๐คฃ๐คฃ๐คฃKwenye ugimbi wa kingoni mbege haimo ๐๐๐๐ labda kwenye familia yao Kuna member kaoa mchaga so anawaandalia mbege
๐๐๐ Sio Mambo yetu hayo mlongo wangu...Nikiwa kama Mngoni asilia nimeshangazwa sana na hili suala la mbege ungonini๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Tumepigwa mlongo wangu๐๐๐ Sio Mambo yetu hayo mlongo wangu...
mie mmatengo bwana... Kahawa, ndizi ni nyingi,. MBEGE KWETU NI NYINGI TU..Tumepigwa mlongo wangu
Kwenye ugimbi wa kingoni mbege haimo
Ni vile siku hizi Dunia Iko kiganjani kuigana kama kawaida,,ila kiasili mmatengo Hana Mbegemie mmatengo bwana... Kahawa, ndizi ni nyingi,. MBEGE KWETU NI NYINGI TU..
ndugu yangu mbege ipo umatengoni kitambo,.. Sehemu inapolimwa kahawa na migomba lazma iwepo, na huku kwetu ulezi pia unalimwa. Mbege ipo kwa ukawaida ..Ni vile siku hizi Dunia Iko kiganjani kuigana kama kawaida,,ila kiasili mmatengo Hana Mbege