Mrejesho: Mzee Wangu amepata 98m za mafao yake baada ya kustaafu

........Bwanaeh!kweli mkuu mkumbushe huyu maana hawachelewi kurudi hapa oohh naomba kwa mwenye kazi au kibarua chochote anisaidie nimehangaika mwaka wa pili huu sijapata kazi.

Ukimfuatilia unakuta ameshawahi post vitu kama hivi.

Asilimia kubwa ya threads za humu ndani huwa zinakuwa ni stori tu za kufurahisha baraza ndio maana hatupaswi kuzichukulia serious sana tutaumia.

Lakini watu huwa wanajisahau anapost thread ambayo inapingana na thread aliyowahi kuianzisha huko nyuma.

Kuna jamaa humu aliletaga thread na kusema Marehemu baba yake amewaachia mamilioni ya Pesa anaomba ushauri jinsi ya kuzitumia.

Akaja tena na thread nyingine kwa kusema "Baba yake mzazi anaingilia mahusiano yake"
 
Hatimae mzee kavuta 98m za kiinua mgongo - JamiiForums
Nimesha rudi dar nashukuru kwa mlio nishauri ushauri wenu tumeufanyia kazi kwa kuweka 50M fixed account wakati mzee akifikiria cha kufanya mbeleni 20m nilipewa mie 8m aliwapa Dada zangu watatu Wa gawane hiyo nyingine wanakula taratibu na Bi mkubwa huku 50m iko bank sasa basi nafikiria ninunue Kiwanja goba then nitafute mke nikalipe mahari mambo mengine yatajiseti mbeleni karibuni Leo jioni 40/40 Bima kupunguza stress
hela ya kupewa ukanunulie kiwanja na tulipa mahari? bahada ya hapo?
 
Wazo zuri. Tafuta kiwanja cha bei nafuu Chanika cha M4, M 12, anza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu, milioni moja kula bata, milioni tano, za kuolea.
Ukienda Goba, milioni zote 20 zitaishia kwenye kiwanja alafu utakuwa unaenda kukisalimia kila siku kama kinaumwa vile.
Mind you, tofali elfu nne zinazogharimu M4.5 zinatosha kumaliza nyumba ndogo Chanika. Hizo 5.5 ukizipeleka kwenye material, nyumba inaweza kufika kwenye lenta.
Unayemshauri mwenyewe anawaza kwenda kupunguza stress. Anaweza kurudi hata millioni 5 zimeisha na hivi kesha alika wana JF. Mshana jr., mrangi, tukwende tumfundishe adabu huyu.
 
Write your reply...kwa mwenendo wako unavyoonekana hicho utakiuza kabla hujajenga
 
Wazo zuri. Tafuta kiwanja cha bei nafuu Chanika cha M4, M 12, anza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu, milioni moja kula bata, milioni tano, za kuolea.
Ukienda Goba, milioni zote 20 zitaishia kwenye kiwanja alafu utakuwa unaenda kukisalimia kila siku kama kinaumwa vile.
Mind you, tofali elfu nne zinazogharimu M4.5 zinatosha kumaliza nyumba ndogo Chanika. Hizo 5.5 ukizipeleka kwenye material, nyumba inaweza kufika kwenye lenta.
 
Wazo zuri. Tafuta kiwanja cha bei nafuu Chanika cha M4, M 12, anza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu, milioni moja kula bata, milioni tano, za kuolea.
Ukienda Goba, milioni zote 20 zitaishia kwenye kiwanja alafu utakuwa unaenda kukisalimia kila siku kama kinaumwa vile.
Mind you, tofali elfu nne zinazogharimu M4.5 zinatosha kumaliza nyumba ndogo Chanika. Hizo 5.5 ukizipeleka kwenye material, nyumba inaweza kufika kwenye lenta.
Mkuu umeshauri vizuri sana. Amana hata mimi najipaga kununua kiwanja chanika
 
Baba hajatenda haki, dada zako wamepewa 8m wewe umepewa 20m, kwa nini afanye hivyo?
 
Back
Top Bottom