Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Mweee!Chukua dada ako mmoja kwa niaba yangu
Mweee!Chukua dada ako mmoja kwa niaba yangu
Hayo maneno yako yangekuwa kweli, benki zote zingehamia Uchagani. Ila Gavana wa BoT analalamika kuwa benki zimeng'ang'ania Dar!Hiyo 20m mpe mchaga halafu hadi 18/12/2019 akurudishie hio 20m yako uone yeye ka produce ngapi! 100m
........Bwanaeh!kweli mkuu mkumbushe huyu maana hawachelewi kurudi hapa oohh naomba kwa mwenye kazi au kibarua chochote anisaidie nimehangaika mwaka wa pili huu sijapata kazi.
Ukimfuatilia unakuta ameshawahi post vitu kama hivi.
hela ya kupewa ukanunulie kiwanja na tulipa mahari? bahada ya hapo?Hatimae mzee kavuta 98m za kiinua mgongo - JamiiForums
Nimesha rudi dar nashukuru kwa mlio nishauri ushauri wenu tumeufanyia kazi kwa kuweka 50M fixed account wakati mzee akifikiria cha kufanya mbeleni 20m nilipewa mie 8m aliwapa Dada zangu watatu Wa gawane hiyo nyingine wanakula taratibu na Bi mkubwa huku 50m iko bank sasa basi nafikiria ninunue Kiwanja goba then nitafute mke nikalipe mahari mambo mengine yatajiseti mbeleni karibuni Leo jioni 40/40 Bima kupunguza stress
Unayemshauri mwenyewe anawaza kwenda kupunguza stress. Anaweza kurudi hata millioni 5 zimeisha na hivi kesha alika wana JF. Mshana jr., mrangi, tukwende tumfundishe adabu huyu.Wazo zuri. Tafuta kiwanja cha bei nafuu Chanika cha M4, M 12, anza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu, milioni moja kula bata, milioni tano, za kuolea.
Ukienda Goba, milioni zote 20 zitaishia kwenye kiwanja alafu utakuwa unaenda kukisalimia kila siku kama kinaumwa vile.
Mind you, tofali elfu nne zinazogharimu M4.5 zinatosha kumaliza nyumba ndogo Chanika. Hizo 5.5 ukizipeleka kwenye material, nyumba inaweza kufika kwenye lenta.
Kuna 50m zitarudiwa kutafunwa pia.hela ya kupewa ukanunulie kiwanja na tulipa mahari? bahada ya hapo?
Wazo zuri. Tafuta kiwanja cha bei nafuu Chanika cha M4, M 12, anza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu, milioni moja kula bata, milioni tano, za kuolea.
Ukienda Goba, milioni zote 20 zitaishia kwenye kiwanja alafu utakuwa unaenda kukisalimia kila siku kama kinaumwa vile.
Mind you, tofali elfu nne zinazogharimu M4.5 zinatosha kumaliza nyumba ndogo Chanika. Hizo 5.5 ukizipeleka kwenye material, nyumba inaweza kufika kwenye lenta.
Mkuu umeshauri vizuri sana. Amana hata mimi najipaga kununua kiwanja chanikaWazo zuri. Tafuta kiwanja cha bei nafuu Chanika cha M4, M 12, anza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu, milioni moja kula bata, milioni tano, za kuolea.
Ukienda Goba, milioni zote 20 zitaishia kwenye kiwanja alafu utakuwa unaenda kukisalimia kila siku kama kinaumwa vile.
Mind you, tofali elfu nne zinazogharimu M4.5 zinatosha kumaliza nyumba ndogo Chanika. Hizo 5.5 ukizipeleka kwenye material, nyumba inaweza kufika kwenye lenta.
Chukua dada ako mmoja kwa niaba yangu
Jiongeze Kielimu!
Kwanza anajua bei ya kiwanja huko goba?ha ha ha ha sasa mil 20 ukianza kupunguza stress baada ya mwezi siutabaki na mil 1.3
Sina haja ya Dada wakati wewe upo we jiandae tabu iko palepale