Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Atakuwa amechanganyiwa kipande cha nyama kwenye papuchi siyo bureDaudi1 nani kasema?Nakwambia akitoka hosp kitu cha kwanza ataenda kufuta kesi na kumtafuta huyo mchumba wake malaya kumuomba msamaha kama vile yeye ndiye kakosa!Chezea papuchi wewe??
Alafu sijui wanaume wengine tukoje,mtu hata hujamuoa,umethibitisha ni malaya,unamg'ang'ania wa nini?Mbona papuchi ziko nyingi tu barabarani?Tena kuna uzi humu wa maeneo zinapopatikana?
Nasema,apigwe tu,apigwe na apigwe tu!