goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 1,048
- 1,342
Nimerudi tena waungwana, nashukuru kwa wale walionishauri kuhusu king'amzi changu cha startimes.
Nimeleta fundi ikaonekana decoda ndo mbovu maana haiwasiliani na dish maana yake haiditect singnal na taa ya kijani haiwaki pia maana alileta decoda nyngine ya dizaini hyo kikasoma vizuri
Nimeongea na customer care wao anasema niende makao makuu na mi nipo mkoani tena interior huku na makao makuu ni mbali
Kwa kuwa naamini hapa huwa hapaharibiki kitu nisaidieni kama kuna altenative ili nisolve tatizo langu
Ahsanteni!!
Nimeleta fundi ikaonekana decoda ndo mbovu maana haiwasiliani na dish maana yake haiditect singnal na taa ya kijani haiwaki pia maana alileta decoda nyngine ya dizaini hyo kikasoma vizuri
Nimeongea na customer care wao anasema niende makao makuu na mi nipo mkoani tena interior huku na makao makuu ni mbali
Kwa kuwa naamini hapa huwa hapaharibiki kitu nisaidieni kama kuna altenative ili nisolve tatizo langu
Ahsanteni!!