Mrejesho: Mchumba wangu simuelewielewi, nachanganyikiwa

sweetapple

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
533
461
Natumaini mu wazima wanajamvi wote,

Napenda kuchukua nafasi hii kuelezea ya moyoni na hali ilivyokuwa baada ya post yangu yenye kichwa hapo juu, japo uzi ule uliombwa ufutwe baada ya kuleta madhara.
kabla ya yote, naomba nirudie kukiri hadharani kwamba nampenda mchumba wangu, pamoja na yote yaliyotokea but still nampenda tena sana na kuwaza eti tunatengana au tumetengana ni jambo linalofikilisha sana pamoja na kunikondesha.

Sawa kama binadamu anaweza akawa aliteleza na mimi kuchukua uamuzi wa
haraka kuja kulalamika jambo lililozua rafrani kubwa ambayo mwanzo sikutegemea, mwanzo nilijua naamini rningepata tu ushauri, lakini ushauri ukanichukua na mimi kuanza kumponda. Naomba msamaha kwa niaba ya watu walioteleza kushauri kupitiliza pamoja na yote kama nilivyowai sema toka mwanzo hapo mengi mazuri aliyonifanyia, nitakuwa mchoyo wa fadhira nikiangalia upande mmoja tu wa shilingi. Nia yangu ya mwanzo ilikuwa kuona ushauri wa wengine kama ipo sawa.

Lakini badala ya kujenga ikabomoa. Mapenzi yanaumiza sana hasa kwa mtu unayempenda sana, kuandika inaweza ikawa rahisi sana lakini katika uhalisia ikawa ngumu sana. Kama nilivyokuja mwenyewe hadharani na kuwashirikisha mkasa wangu na ushauri wenu wote nashukuru lakini ndani ya nafasi yangu naumia sana. Nashindwa kuwa normal kwa kumkosa.

Japo nashukuru Mungu tumeanza kuwasiliana baada ya wiki mbili naamini Mungu atatupigania tena na kujirekebisha pale wote tulipoteleza. Kazi ya shetani ni kuona watu wake wakikosa amani na kuwatenganisha kwa namna yoyote ile. Naomba wanaJF wenzangu haaa wale wanaomwamini Mungu mtuombee mimi na mchumba wangu wa maisha tuzidi kuamini katika Mungu na kumkemea shetani aliyejaribu kututenganisha kwa hila.

Mpenzi naomba nisamehe sana, nia yangu haikuwa kukuaibisha au kukufanya ujisikie vibaya bali nilikuwa najaribu njia mbadala ili uone ni wapi naumia. Kwa yote yaliyotokea najua ni mitihani sisi sio wa kwanza kupitia jaribu hilo wapo wengi na kikubwa ni kuombeana na kufanikisha yale tuliyokwisha anza na kufika mbali.

Ahsante.
 
Mimi nimetoka kapa, kwa sababu sikufanikiwa kuusoma uzi wako wa mwanzo kabla ya Mrejesho.

Ngoja waje waliosoma labda watakuelewa.

Mungu awapiganie. My prayers are with you.
Mmeshalishinda jaribu nanyi jiandaeni kupokea neema.
 
MUNGU awatangulie katika safar yenu, na kuwapigania kila hatua mnayopiga ktk uhusiano wenu
 
Una hekima sana, natumai mtu wako ataelewa na atakusamehe. Hakuna jambo zuri kama kuombana msamaha. Mungu awaongoze mfike mwaka 2100 mkiwa pamoja
 
mhhh...kwa hyo mke wake kashamtaliki..vp kaacha kuwasifia marafiki zako!!Kupanga ni kuchagua
 
Naunga mkonyo hoja... Nadhani hata uandishi wake ni sababu inashindwa kumshawishi msomaji amalize story yote..
Mimi nimetoka kapa, kwa sababu sikufanikiwa kuusoma uzi wako wa mwanzo kabla ya Mrejesho.

Ngoja waje waliosoma labda watakuelewa.

Mungu awapiganie. My prayers are with you.
Mmeshalishinda jaribu nanyi jiandaeni kupokea neema.
 
Natumaini mu wazima wanajamvi wote,

Napenda kuchukua nafasi hii kuelezea ya moyoni na hali ilivyokuwa baada ya post yangu yenye kichwa hapo juu, japo uzi ule uliombwa ufutwe baada ya kuleta madhara.
kabla ya yote, naomba nirudie kukiri hadharani kwamba nampenda mchumba wangu, pamoja na yote yaliyotokea but still nampenda tena sana na kuwaza eti tunatengana au tumetengana ni jambo linalofikilisha sana pamoja na kunikondesha.

Sawa kama binadamu anaweza akawa aliteleza na mimi kuchukua uamuzi wa
haraka kuja kulalamika jambo lililozua rafrani kubwa ambayo mwanzo sikutegemea, mwanzo nilijua naamini rningepata tu ushauri, lakini ushauri ukanichukua na mimi kuanza kumponda. Naomba msamaha kwa niaba ya watu walioteleza kushauri kupitiliza pamoja na yote kama nilivyowai sema toka mwanzo hapo mengi mazuri aliyonifanyia, nitakuwa mchoyo wa fadhira nikiangalia upande mmoja tu wa shilingi. Nia yangu ya mwanzo ilikuwa kuona ushauri wa wengine kama ipo sawa.

Lakini badala ya kujenga ikabomoa. Mapenzi yanaumiza sana hasa kwa mtu unayempenda sana, kuandika inaweza ikawa rahisi sana lakini katika uhalisia ikawa ngumu sana. Kama nilivyokuja mwenyewe hadharani na kuwashirikisha mkasa wangu na ushauri wenu wote nashukuru lakini ndani ya nafasi yangu naumia sana. Nashindwa kuwa normal kwa kumkosa.

Japo nashukuru Mungu tumeanza kuwasiliana baada ya wiki mbili naamini Mungu atatupigania tena na kujirekebisha pale wote tulipoteleza. Kazi ya shetani ni kuona watu wake wakikosa amani na kuwatenganisha kwa namna yoyote ile. Naomba wanaJF wenzangu haaa wale wanaomwamini Mungu mtuombee mimi na mchumba wangu wa maisha tuzidi kuamini katika Mungu na kumkemea shetani aliyejaribu kututenganisha kwa hila.

Mpenzi naomba nisamehe sana, nia yangu haikuwa kukuaibisha au kukufanya ujisikie vibaya bali nilikuwa najaribu njia mbadala ili uone ni wapi naumia. Kwa yote yaliyotokea najua ni mitihani sisi sio wa kwanza kupitia jaribu hilo wapo wengi na kikubwa ni kuombeana na kufanikisha yale tuliyokwisha anza na kufika mbali.

Ahsante.
Ina maana huyo demu wako anajua Id yako humu JF? pole na badilisha id..
 
Natumaini mu wazima wanajamvi wote,

Napenda kuchukua nafasi hii kuelezea ya moyoni na hali ilivyokuwa baada ya post yangu yenye kichwa hapo juu, japo uzi ule uliombwa ufutwe baada ya kuleta madhara.
kabla ya yote, naomba nirudie kukiri hadharani kwamba nampenda mchumba wangu, pamoja na yote yaliyotokea but still nampenda tena sana na kuwaza eti tunatengana au tumetengana ni jambo linalofikilisha sana pamoja na kunikondesha.

Sawa kama binadamu anaweza akawa aliteleza na mimi kuchukua uamuzi wa
haraka kuja kulalamika jambo lililozua rafrani kubwa ambayo mwanzo sikutegemea, mwanzo nilijua naamini rningepata tu ushauri, lakini ushauri ukanichukua na mimi kuanza kumponda. Naomba msamaha kwa niaba ya watu walioteleza kushauri kupitiliza pamoja na yote kama nilivyowai sema toka mwanzo hapo mengi mazuri aliyonifanyia, nitakuwa mchoyo wa fadhira nikiangalia upande mmoja tu wa shilingi. Nia yangu ya mwanzo ilikuwa kuona ushauri wa wengine kama ipo sawa.

Lakini badala ya kujenga ikabomoa. Mapenzi yanaumiza sana hasa kwa mtu unayempenda sana, kuandika inaweza ikawa rahisi sana lakini katika uhalisia ikawa ngumu sana. Kama nilivyokuja mwenyewe hadharani na kuwashirikisha mkasa wangu na ushauri wenu wote nashukuru lakini ndani ya nafasi yangu naumia sana. Nashindwa kuwa normal kwa kumkosa.

Japo nashukuru Mungu tumeanza kuwasiliana baada ya wiki mbili naamini Mungu atatupigania tena na kujirekebisha pale wote tulipoteleza. Kazi ya shetani ni kuona watu wake wakikosa amani na kuwatenganisha kwa namna yoyote ile. Naomba wanaJF wenzangu haaa wale wanaomwamini Mungu mtuombee mimi na mchumba wangu wa maisha tuzidi kuamini katika Mungu na kumkemea shetani aliyejaribu kututenganisha kwa hila.

Mpenzi naomba nisamehe sana, nia yangu haikuwa kukuaibisha au kukufanya ujisikie vibaya bali nilikuwa najaribu njia mbadala ili uone ni wapi naumia. Kwa yote yaliyotokea najua ni mitihani sisi sio wa kwanza kupitia jaribu hilo wapo wengi na kikubwa ni kuombeana na kufanikisha yale tuliyokwisha anza na kufika mbali.

Ahsante.
Kila la heri naona moyo umeshindwa kusukuma mamuz ,umendelea kusukuma damu, wanajamii forum tungependa kusikia cku moja Mr na Mrs mana changamoto zenu nahis mtazirekebishaa, aiseee kupenda kubaya
 
Mkuu.umenikumbusha jambo kubwa sana ila namuachia Mungu tu.
Kweli duniani kuna mambo !!
I still can't believe reading this from you, looking at the time frame and what you hv actually been doing !!

Ogopa sana, mungu anakuona !!
 
Kweli duniani kuna mambo !!
I still can't believe reading this from you, looking at the time frame and what you hv actually been doing !!

Ogopa sana, mungu anakuona !!
Naomba nkuulize kistaarabu kwanza wewe ni nani what business do u have with me hadi uniambie hivo.
 
Mkuu.umenikumbusha jambo kubwa sana ila namuachia Mungu tu.
I smell something..
Kweli duniani kuna mambo !!
I still can't believe reading this from you, looking at the time frame and what you hv actually been doing !!

Ogopa sana, mungu anakuona !!
Daaah Mtu akijuaa ID yakoo alafu akawa anakufahamu beyond keyboard nayo ina shida zake aiseee.
 
Back
Top Bottom