desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,761
- 6,043
Hata simu huongei kwa raha ukiwa na manualManual ya kazi gani... chura na mipapaso huifanyi kwa raha kama ukiwa na Auto
Hata simu huongei kwa raha ukiwa na manualManual ya kazi gani... chura na mipapaso huifanyi kwa raha kama ukiwa na Auto
Nguvu...kama nguvu ni kidogo ka obstacle kidogo tu lazima ushushe gia....assume premio ya 1.5L iwe manual na brevis ya 2.5L iwe manual ..kwenye brevis utaenjoy zaidiMzee CC inauhusiano gani na bamzi? Kwamba ukiwa na CC kubwa unafukia tu matuta.
Mkuu Asante, nilishakamata ka cc 660, automatic napeta kitaa tuuuHizo hapo mkuu .View attachment 1981076