Vipaumbele hivyowabongo tunapenda shortcut sana
1.ELIMU
2.ELIMU
3.ELIMU
Vipaumbele hivyowabongo tunapenda shortcut sana
1.ELIMU
2.ELIMU
3.ELIMU
Jiulize haya maswali...Hawa Templefx wakoje anaowajua vizuri pliz?
"Huko Forex" ni wapi? Watu wana deal na brokers na exchanges kwa hiyo "huko Forex" si sehemu moja. Inabidi swali lijikite kwa broker. Unaweza kuwa na broker mmoja mzuri hana shida kwenye withdrawals na mwingine mwizi analeta shida kwenye withdrawals.Kuna watu/ mtu amesha withdrawal PESA kutoka huko FOREX...??? Akaipata mkononi..?
Hatari kumbe unaweza lizwa aiseee.. maana unasema broker anaweza asikupe chako..."Huko Forex" ni wapi? Watu wana deal na brokers na exchanges kwa hiyo "huko Forex" si sehemu moja. Inabidi swali lijikite kwa broker. Unaweza kuwa na broker mmoja mzuri hana shida kwenye withdrawals na mwingine mwizi analeta shida kwenye withdrawals.
Mimi nimesha withdraw roughly $10,000 juzijuzi hapa kutoka NADEX.
Biashara yoyote online unaweza lizwa na unatakiwa kuangalia reviews kabla ya kutoa hela zako.Hatari kumbe unaweza lizwa aiseee.. maana unasema broker anaweza asikupe chako...
Me nadhan ku withdrawal ndo kitu cha kwanza kinatakiwa kwenye hii business.. MAANA ukipigwa huko inakuwa Ngumu kulalamika sehem..
Hata wewe ni mvivu kufanya kazi.Watanzania ni wavivu kufanya kaz, Ckuhz Hakuna pesa ya bure aseh hzo pesa za Mtandaon tutawaskia mnaweuka
Mkuu, post zako zote unauliza kwny negative side Pekee ,Kwa haraka haraka nakuelewa ni kuwa unataman kuingia kwenye forex Ila unahofia kuwa forex ni utapeli Tho Huna uhakika na unahofia tu, Nakushaur Karibu TMT ni training institute iliyosajiliwa na serikal hapa tz Kwa ajil ya kutoa elimu ya forex, utapatiwa right broker wa uhakika mwny had physical address, forex ni ngeni Kwa watz weng so is better upate mtu wa kukushika mkono. AsanteHatari kumbe unaweza lizwa aiseee.. maana unasema broker anaweza asikupe chako...
Me nadhan ku withdrawal ndo kitu cha kwanza kinatakiwa kwenye hii business.. MAANA ukipigwa huko inakuwa Ngumu kulalamika sehem..
Tafadhali ukisha withdrawal tupia ma evidence kbsaa mkuu... ndo tunataka vitu kama hiv ku withdrawal PESA upate mkononi.Mkuu, post zako zote unauliza kwny negative side Pekee ,Kwa haraka haraka nakuelewa ni kuwa unataman kuingia kwenye forex Ila unahofia kuwa forex ni utapeli Tho Huna uhakika na unahofia tu, Nakushaur Karibu TMT ni training institute iliyosajiliwa na serikal hapa tz Kwa ajil ya kutoa elimu ya forex, utapatiwa right broker wa uhakika mwny had physical address, forex ni ngeni Kwa watz weng so is better upate mtu wa kukushika mkono. Asante
By the way Leo jion Kama sio kesho Ntaenda kudraw pesa kutoka forex mkuu, Kama hutojali naomba tuongozane ili uamini nnachokuambia.
Thanks once again
Dear Client,Tafadhali ukisha withdrawal tupia ma evidence kbsaa mkuu... ndo tunataka vitu kama hiv ku withdrawal PESA upate mkononi.
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Post ziko nyng tu ukifuatilia thread zote za forex, Sawa mkuu ntatupia hata mzgo ntaoenda kuchukua ntatupia Pia, Kwa faida ya watu wenye wasiwasi bado.Tafadhali ukisha withdrawal tupia ma evidence kbsaa mkuu... ndo tunataka vitu kama hiv ku withdrawal PESA upate mkononi.
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Asante kwa shuhuda.... maana shuhuda kama hiz n chache sanaa... yaan kati ya wote n wewe tu umefanikiwa ku withdrawal... duhhhDear Client,
We are writing to inform You, that your withdrawal request has been processed to the card ending with 6089.
Please note that credit/debit card withdrawals can take up to 8 working days to be seen in the client's account.
Thank you for using our services.
Kind Regards,
Zehua
Payment Specialist | Tickmill Ltd
T +852 5808 2921
+65 3163 0958
E support@tickmill.com
W www.tickmill.com
Tunasubir shuhuda.. maana hata tomaso hakuamin mpk alivyoona.. #withdrawal#Post ziko nyng tu ukifuatilia thread zote za forex, Sawa mkuu ntatupia hata mzgo ntaoenda kuchukua ntatupia Pia, Kwa faida ya watu wenye wasiwasi bado.
Nb:forex isn't a get rich quick place
Forex is simple but not easy, it needs a lot of patience.
Ukichagua forex ukubal kusoma vtabu haviepukiki, hata b4 hujaingia rasmi kwny forex tafta vtabu vipo ving mno, Anza kusoma ,maswali yako yote unayouliza humu juu ya forex majibu yapo kwny vtabu na Utapata knowledge kubwa itayobadilisha maisha yako.
Asante
Tunasubir shuhuda.. maana hata tomaso hakuamin mpk alivyoona.. #withdrawal#
Salute brother... respect mkuu....waje na wengine watoe ushuhudA kama wewe sasa umechukuwa yote umefunga business..? ?Balance ya acc yangu ilikuwa USD 278 nikachukua yote screen shot hiyoView attachment 621180
No niweka kwa jafx nahitaji auto trader account sitaki usumbufu wa copying nd pasteSalute brother... respect mkuu....waje na wengine watoe ushuhudA kama wewe sasa umechukuwa yote umefunga business..? ?