bila shaka kaelewa...ingawa haujamtajia na mazingira halisi ya sehemu ya kufanyia huo mradi ili iwe rahisi ku`analyse specific budget for whole season until the harvest mkuu!
bila shaka kaelewa...ingawa haujamtajia na mazingira halisi ya sehemu ya kufanyia huo mradi ili iwe rahisi ku`analyse specific budget for whole season until the harvest mkuu!
Hiyo gharama haiko realistic. Mbegu ya gramm 500 ya F1 Sugar ni laki 3.
Bado samadi ya kupandia bado mbolea ya NPK na CAN bado hujaweka madawa ya wadudu kama farm guard na Boosters.
Hiyo gharama haiko realistic. Mbegu ya gramm 500 ya F1 Sugar ni laki 3.
Bado samadi ya kupandia bado mbolea ya NPK na CAN bado hujaweka madawa ya wadudu kama farm guard na Boosters.
hongera mkuu, lima tuu wala usikatishwe tamaa ya soko lilipo, soko lake bado ni kubwa sana, huyo anaekuambia soko hajafanya tafiti yoyote zaidi ya porojo za kijiweni