Hedika
Member
- Jan 16, 2018
- 17
- 35
Ndugu zangu wana jamii forum nimepata habari kuwa serikali imebuni mradi wa kilimo cha korosho Dodoma ambapo wananchi watauziwa maeneo kwa tsh 100000 kwa eka katika eneo la mradi wa majaribio ili waweze kulima korosho huzo ambazo ni mbegu mpya. Naombeni ukweli juu ya jambo hili jamani .