Umri sio sababu
grafani11 nimemaliza elimu ya msingi enzi za Mwalimu Nyerere 1988. Maisha ya miaka hiyo sio ya sasa hivi, thus why hata mashuleni kumewekwa sheria kumchapa mtoto mwisho fimbo 3, haya huo mzigo wa kuni anakwenda
kuua nyoka darasani au!!!! Na mwanafunzi anafunzwa kwa adhabu za vitendo sio fimbo, maana ukimchapa kila siku anageuka sugu, je hapo unamjenga au unamharibu!!!! Haijalishi ni shule za ST au Kayumba school viboko havitakiwi tena, ilikuwa ni enzi za Mwalimu!!!!