Mr Nyumba is in town

Mr Nyumba is in town

miketee

Member
Joined
Feb 17, 2020
Posts
38
Reaction score
23
Ujenzi wa nyumba yako unaweza kuwa wa kisasa kwa kutumia Fundi wako mwenyewe huku akipata USHAURI WA KITAALAMU kutoka kwa MR NYUMBA. benefits za mr Nyumba Ni nyingi kwa nyumba yako, Fundi na kwako mwenyewe. Mpigie Sasa ujachelewa.
IMG-20200319-WA0002.jpeg
20200312_151057_0000.jpeg
20200312_150023_0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakushauri uwe na full packages , kuanzia designing, kufuatilia vibali vya ujenzi, kuuza viwanja pamoja na hizo kazi zako za consultation ili uwe na uwanja mpana wa uhitaji ... Umebase kwenye sehemu ndogo ... Sidhani Kama Ni rahisi mtanzania ampe dili fundi halafu na wewe consultant upewe pia pia dili kwasababu za kiuchumi na tabia za watanzania sio rahisi kufanya consultation.


Hivyo Basi soma tabia za wateja wako ndio uone wapi pa kuwekeza ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakushauri uwe na full packages , kuanzia designing, kufuatilia vibali vya ujenzi, kuuza viwanja pamoja na hizo kazi zako za consultation ili uwe na uwanja mpana wa uhitaji ... Umebase kwenye sehemu ndogo ... Sidhani Kama Ni rahisi mtanzania ampe dili fundi halafu na wewe consultant upewe pia pia dili kwasababu za kiuchumi na tabia za watanzania sio rahisi kufanya consultation.


Hivyo Basi soma tabia za wateja wako ndio uone wapi pa kuwekeza ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Noted with thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom