Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,262
- 6,514
Mr Nice, mbongo flavor wa zamani amebabwa maeneo ya uwanja Fisi Dar, wakinywa pombe na mwanamke Fulani hivi.
Wakihojiwa na shilawadu ya Sudi Brown wa clouds FM hivi punde mashuhuda wamedhibitisha. Pia inadaiwa walikutwa wakipigana na mwanamke huyo aliyekuja naye.
Mr Nice anamtuhumu binti kuwa kamwibia simu yake, nadhani baada ya pombe kukolea. Inadaiwa hadi muda huu bado wote wawili wanashikiliwa polisi.
Wakihojiwa na shilawadu ya Sudi Brown wa clouds FM hivi punde mashuhuda wamedhibitisha. Pia inadaiwa walikutwa wakipigana na mwanamke huyo aliyekuja naye.
Mr Nice anamtuhumu binti kuwa kamwibia simu yake, nadhani baada ya pombe kukolea. Inadaiwa hadi muda huu bado wote wawili wanashikiliwa polisi.