Kuna kipindi ana heat nkakutana entered airport anapokelewa amebebwa juu juu kama mfalme
Nikajipekecha kumaogelea yenyewe ikawa mbinde mpaka namfikia, nkamkumbushia deni langu langu la 20k akawa anacheka tu,anasema baharia tukionana dar ntakucheki
Baadaye huko ndiko akashuka
Akienda bar anakunywa anakimbia bill
Sana sana sehemu nyingi nlizokuwa namkuta alikuwa anataka kupigwa na mabaunsa w
Tunahishia kumuamulia
Ila kama nafasi aliipata bana maana soko la afrika mashariki na kati alilikamata
Ova