Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Leo kwenye kipindi cha PB na G. Hando, ile story ya JF imesimuliwa na gwiji la Muziki Mrisho Mpoto, naona jamaa kaichukua kama ilivyo toka JF.
Inahusu yule bibi aliyechezea nyeti za mkurugenzi wa Bank moja maarufu, huku kijamaa cha nyuma yake kikimwaga machozi, yule mkurugenzi kuona vile kaanza kushangaa na kuuliza kulikoni, kale kabibi kakamueleza kwamba nishamla milioni 400 kwani alinibishia kwamba siwezi kuchezea korodani za mkurugenzi wa bank kubwa...ngoja niitafute ile link nitaiweka, au kama mwenye nayo aiweke tafadhali
Kweli JF ni noma manake watu wanapatia umaarufu kutoka humuhumu, ingawa hawasemi hizo story wamezitoa wapi.
Hii hapa....https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/197633-bibi-nomaaaa-cheka-upasuke.html
Inahusu yule bibi aliyechezea nyeti za mkurugenzi wa Bank moja maarufu, huku kijamaa cha nyuma yake kikimwaga machozi, yule mkurugenzi kuona vile kaanza kushangaa na kuuliza kulikoni, kale kabibi kakamueleza kwamba nishamla milioni 400 kwani alinibishia kwamba siwezi kuchezea korodani za mkurugenzi wa bank kubwa...ngoja niitafute ile link nitaiweka, au kama mwenye nayo aiweke tafadhali
Kweli JF ni noma manake watu wanapatia umaarufu kutoka humuhumu, ingawa hawasemi hizo story wamezitoa wapi.
Hii hapa....https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/197633-bibi-nomaaaa-cheka-upasuke.html