1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya, Yanga ataendelea kuwa bingwa miaka 10 mfululizo, nyie endeleeni kulalamika lkn mikakati na mipango ndio hiyo.
Sasa hivi hakuna jinsi, akili bandia ije tu ili soka lichezeshwe na robot, the sky is limit.
We need artificial intelligence in order to rescue soka la Bongo.Waamuzi mkatafute kazi za kufanya hasa wewe Kayoko na mwenzako Arajigije.
Sasa hivi hakuna jinsi, akili bandia ije tu ili soka lichezeshwe na robot, the sky is limit.
We need artificial intelligence in order to rescue soka la Bongo.Waamuzi mkatafute kazi za kufanya hasa wewe Kayoko na mwenzako Arajigije.