Jamaa ninamsikiaga akisema UMATEMATE hivi maanayake ni nini? naomba anayejua anijuze.
umatemate ni pesa ndugu au mshiko
Jamaa ninamsikiaga akisema UMATEMATE hivi maanayake ni nini? naomba anayejua anijuze.
sura ile ile ya maneromango
Anakwambia mabasi ya kutoka Kisarawe kuja Buguruni ni DCM halafu Dereva wa basi hilo amekalia kinu.'Anakwambia nr 9 uwanjani anatakiwa awe km gobagoba(I'm not sure)' yaani huko hilo pikipiki sio pikipiki, gari si gari, in short inafanya shughuli zote.
Anakwambia ukipata mpira toa pasi sio unakaa na mpira muda mrefu kama vile una upenda na kama unaupenda uchukue uende nao ukalalie kama mto hahaaa.Anakwambia kama napiga kumbe nafinya... Striker nimekamilika natema mate kushoto nafukia kulia... Hatari sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Mbwiga ni mshabiki wa Abijo mie nilizania ni shabiki wa KwalaNamsubiiri leo saa 3 hii ili nimsikie baada mechi ya watani na ukizingatia yeye mbwiga ni mshabiki mkubwa wa simba s c
Pesa yaani fedha ,ngawira ndo umatemateJamaa ninamsikiaga akisema UMATEMATE hivi maanayake ni nini? naomba anayejua anijuze.