johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,949
- 141,929
Tangu ahamie upinzani akitokea CCM mzee Mrema hajawahi kuyumba wala kuyumbishwa.
Mzee Mrema ndio mpinzani wa kweli na siyo msaliti hata Tundu Lissu ameiga style yake ya kuunga mkono mgombea anayemkubali.
Maendeleo hayana vyama!
Mzee Mrema ndio mpinzani wa kweli na siyo msaliti hata Tundu Lissu ameiga style yake ya kuunga mkono mgombea anayemkubali.
Maendeleo hayana vyama!