Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,891
Tupo hapa Total shekilango
Kinachoendelea ni aibu kwa taifa ...Ipo gari moja Noah..Hii imekaa mbele ya Total sehemu wanapotolea mafuta...
Pembeni ya Total kuna njia ya lami inatokea sokoni..hapo wamewajaza mapolisi jamii kumi wanakamata pikipiki hovyo uwe na helmet am lah
Mmoja kakamatwa anambiwa unavaa ndala kosa la kwanza...mbaya wanapelekwa wanaishia kutoa 5000-10000 bila risit
Mh Mpinga kama upo karibu jaribu kuona hili..niliwahi kusema polisi jamii hawakoo kwa bahati mbaya ..hata siku mh unawapinga nilishangaa sana maana nilijua hawawezi kuondoka Hawa ni wajasiriamali wa baadhi ya watu..
Unakamatwa na polisi jamii unapelekwa kwenye Noah..kaulizeni wameandika ngapi mpaka sasa kama faini.
Njooni kuna Pikipiki 20 zinaishia mojamoja
Lord have mercy on us
Kinachoendelea ni aibu kwa taifa ...Ipo gari moja Noah..Hii imekaa mbele ya Total sehemu wanapotolea mafuta...
Pembeni ya Total kuna njia ya lami inatokea sokoni..hapo wamewajaza mapolisi jamii kumi wanakamata pikipiki hovyo uwe na helmet am lah
Mmoja kakamatwa anambiwa unavaa ndala kosa la kwanza...mbaya wanapelekwa wanaishia kutoa 5000-10000 bila risit
Mh Mpinga kama upo karibu jaribu kuona hili..niliwahi kusema polisi jamii hawakoo kwa bahati mbaya ..hata siku mh unawapinga nilishangaa sana maana nilijua hawawezi kuondoka Hawa ni wajasiriamali wa baadhi ya watu..
Unakamatwa na polisi jamii unapelekwa kwenye Noah..kaulizeni wameandika ngapi mpaka sasa kama faini.
Njooni kuna Pikipiki 20 zinaishia mojamoja
Lord have mercy on us

