GE2025 Mpina atinga INEC bila mbwembwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Mgombea Urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, amewasili katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tofauti na wagombea wengine wa vyama vingine, wengi wao wakifika na matarumbeta au vikundi vya ngoma, Mpina ameambatana na idadi ndogo ya wanachama wa chama hicho.


Your browser is not able to display this video.

Soma pia: Kailima asema INEC itafanya kazi kwa karibu na Waandishi wa Habari kipindi chote cha Uchaguzi Mkuu 2025
 
Nitatoa takwimu nikishapata kibali cha NBS (Ofisi ya Taifa ya Takwimu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…