Blueboy Jr
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 482
- 777
Duh ahah๐Mpina sio mpinzani. Ni project za wanamtandao. Ni pandikizi
Kwann mkuuHuyo ni pandikizi la kuvuruga sauti ya kweli ya wapinzani
Mkuu atakuwa bado hajarelax tu. Mbn alikuwa vizuri tu beforeNatamani Mpina ahutubie bila kusoma. Itamuongezea kujiamani.
Wanataka legitimacy kwenye Jamii ya kimataifa kwamba japo uchaguzi haukuwa na CHADEMA (chama kikuu Cha upinzani) ila ulikuwa na upinzani wa kweli wa ACT (CCM B)Kwann mkuu
Ahah๐ ile tuendelee kukopeshwa sioWanataka legitimacy kwenye Jamii ya kimataifa kwamba japo uchaguzi haukuwa na CHADEMA (chama kikuu Cha upinzani) ila ulikuwa na upinzani wa kweli wa ACT (CCM B)
Yuko sahihi hata ukiachwa itakuchukua miezi sita kusahau na Ndiyo maana binadamu hofu kubwa (threat) hudumu kwa muda wa miezi 3Wakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??
nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??
Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.
Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.
ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.
Ndio kama bwana yule alivyokodi COVID-19 kupitia mlango wa nyumaU
Ahah๐ ile tuendelee kukopeshwa sio
๐๐ข๐ขNdio kama bwana yule alivyokodi COVID-19 kupitia mlango wa nyuma
Kwanza mimi sidhani kama kutakuwa na uchaguzi mwaka huuMpina sio presidential material!!, hana ushawishi wala hotuba zenye kuvutia hisia za watu kutaka kuendelea kumsikiliza!. Anatembelea upepo wa mgombea dhaifu wa ccm... Katika wakati ambao Tz imepata wagombea dhaifu basi ni kipindi hiki... Mtaani jamii haijui kama kuna wagombea urais.
Sema imefeliMpina sio mpinzani. Ni project za wanamtandao. Ni pandikizi
Toka Magufuli na Lissu tu Mpina na Mama๐๐Mpina sio presidential material!!, hana ushawishi wala hotuba zenye kuvutia hisia za watu kutaka kuendelea kumsikiliza!. Anatembelea upepo wa mgombea dhaifu wa ccm... Katika wakati ambao Tz imepata wagombea dhaifu basi ni kipindi hiki... Mtaani jamii haijui kama kuna wagombea urais.