Mpesa wakala unafanyaje

Mpesa wakala unafanyaje

iryn alphonce

Member
Joined
May 15, 2014
Posts
49
Reaction score
8
Jamani ukienda kununua hzo lain za mpesa wakala,hiyo hela unayotoa ndo inakuwa ya kudeposit au ya kununua ni hela yake na ya kudeposit ni hela nyingine?mwenye kujua naomba anieleweshe
 
Nyoosha maelezo,pesa kiasi gani?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
hela ya kununulia laini ya m pesa haiusiani na mtaji wako wa kuanzia


vp mkuu unahitaji laini ya m pesa au airtel money tufanye biashara chap
 
Bei ya kununua MPESA 200000, TIGO 650,000 ukinunua kwa bei hizi itakulazimu kuweka flot kwaajili ya kufanya kazi ukihitaji tuwasiliane 0716099463
 
Jamani ukienda kununua hzo lain za mpesa wakala,hiyo hela unayotoa ndo inakuwa ya kudeposit au ya kununua ni hela yake na ya kudeposit ni hela nyingine?mwenye kujua naomba anieleweshe

Mi ipo nauza laki na 50 tuu kama unaitaji nipm!!


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom