Mpenzi wangu kanichunia

Kashakuona wa bei rahisi jaribu kumpotezea kidogo jikaze mtoto wa kike ukishindwa hata kuzaa utashindwa sasa.
 
Koh koh ngoja nipite kimya mie.....
 

Daaah....chungu lakini dawa
 
Wakati mwingine huwa naamini mapenzi hayakuwekwa kwa watoto au watu wasiojielewa...
 
dunia ilivyojaa wanawake wewe unang'ang'ana na huyo tu?
 
Huyo mchuniee,halaf siku akijipendekezaa nawee mfanyie kama alivyokufanyiaaaa

Ameshachuniwa wiki sasa mambo hayaendi jamaa hata hakumbuki. Ngumu Sana kujiweka sehemu ambapo hupendwi, unakuwa mtumwa.
 
Duuh!! mtoa mada ninatatizo kama lako ila cjampanulia miguu alikuwa akinichunia sana ila nami nimejifunza kuchuna toka kwake na ninajua kumsahau Aah bhana ya nn kupotezeana mda bora kuishi single.Ila pole jaman ulijipeleka kwa simba mwenye njaa jaribu kumpotezea tu.
 
Mmmnh....Mwanaume anaekupenda utamjua tuu..!! Hapo umelamba galasa..!!
 
Umeshapata Mupenzi?, kuna njia nyingi za kutafuta mpenzi, hope Mabazazi wametambua uwepo wako!
 
Ameshachuniwa wiki sasa mambo hayaendi jamaa hata hakumbuki. Ngumu Sana kujiweka sehemu ambapo hupendwi, unakuwa mtumwa.

Wengine huaga wanajirudishaaa
 

wew ni ke au me?
 
Yanaaanza kama safariii, Twende fulani ukaone, Kumbe yana nguvu ni hatari, Ukishanasa ndo uponeeee, Mungu aliumba dunia na maajabu yakeeeee eeeehhhh, Ya mwenzako sikia omba yasikupateeeee, Kizaizai.......................................
 
dada shtuka hapo hamna kitu kua bize na mambo yako utamsahau tu japo utapata shida apo mwanzoni ila jikaze ivo ivo as time goes on utakua unamsahau taratibu tu kila jambo linawakati wake na hilo litapita utakuja kupata mwingine na kukaa kivulini ukiyafurahia maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…