Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
acha uwongo ww mi nnayo usije sababisha nianze kuichekiNilitoka nae 😂😂
Kwenye movie ya 3, mwaka 1969 inaitwa Diamonds are Forever
Mara Paaap nafungua Instagram naambiea James Bond Amekufa🙆
Uuuuwi jamaan kwanini umekufa weweee
Mwanzilishi wa Sinema za James abond Duniani na Owner WA Copy Right ya James Bond Movies, Dead and Gone today😭
Pumzika Kwa amani ya Bwana na Mimi nitaendelea kukupenda kama Money Penny
View attachment 1616767View attachment 1616768View attachment 1616769View attachment 1616770
Huyu ni Sean Connery au ni Roger Moore?
halafu diamonds are forever sio ya 1969Nilitoka nae 😂😂
Kwenye movie ya 3, mwaka 1969 inaitwa Diamonds are Forever
na ww kangalie kama unayo hakutokanaeAngalia tu
Hizi movie nimeangalia since I was 5 yes old
Nazijua kama amri 10 hunidanganyi
Huyo Da'vinci ni Dume!Utakuwa umekosea Choo anti
anajua ni dume, makusudiHuyo Da'vinci ni Dume!
Hii inahusiana na James Bond?28 Oct 2014 ndio siku alipotambulishwa MCU kama Black panther.. now it's 2 months and 3day since you left. Rest in peace Chadwick Boseman
View attachment 1616798
Umejipanga haswaaaaaHizi movie nimeangalia since I was 5 yes old
Nazijua kama amri 10 hunidanganyi
😂😂😂😂ila money penny pamoja na kumpenda james bond hakuwahi kupata chance ya kutoka na mr bond