Mpenzi wangu hanitaki

Mpenzi wangu hanitaki

Joined
Apr 6, 2016
Posts
33
Reaction score
5
Wana bodi,

Mimi ni kijana 30yrs o'levels 2008, leo hii nimmachinga, nilibahatika pata mchumba 2014, yeye ana degree ya uhasibu. Mahusiano yetu yamedumu kuanzia 2014 hadi 2016February, maana yeye kwa sasa nimuajiliwa serikalini, tumegombana na sababu yenyewe yeye sikumpata kwenye simu siku moja baada ya yeye kwenda course Dar.

Mwanzoni tulikuwa tunawasilana vizuri tu baada ya mwezi mmoja, mwenzagu latiba zikawa nyingi mara atoke aende sinza usiku SAA6 kutafuta chakula, kwasababu tulikuwa tunawasilana mimi sikuwa na shida na hilo, Siku moja kuanzia saa4 hadi saa 3asubuhi kesho yake simu ndio zinapatikana, kwasababu mimi sijazoea ile hali nilchanganyikia nilimtukana sana maana nilihisi ameshaanza cheeting, sababu alizotoa ni kwamba simu zote mbili hazikuwa na chaji, hapohapo usiku niliangakia last seen yake inaonesha alikuwa online saa8:43usiku mimi nilishindwa kuelewa, nikamtaka asinitafute hadi anipe sababu za kuridhisha, kwasababu hiyo course inachukua miezi4 tumekaa miezi 2 bila mawasiliano mwishoni nnatumiwa sms kuwa amechoka kusubiri hasila zangu ziishe ndipo alipo nitaka kila mutu afanye maisha yake.

Nikakaa kmya! Mwishoni sasa hapa kwasababu nimeona soln hakuna mimi nilimtafuta ili yaishe, lakini alichoniambia hataki kuwa na mimi na kwa sasa yupo kwenye uhusiano mwingine hataki kusikia kuhusu mimi. Nimemuomba anisamehe hataki. Ninalia sana maana nilishamzoea sana na ninamtoto nae mmoja ana miezi 5, wakati yupo kozi alimuachisha ziwa ili awe ana muda mzuri wa kusoma akampeleka kwasababu yake huko Dar. Nipo hapa kuomba maoni yenu maana mimi hadi sasa sijui cha kufanya, umefanya hivyo kwasababu sijamtafuta 2months yeye amaamua kufanya maisha mengine.
 
Akunyimaye chakula kakunyima mashuzi.

Kubali matokeo songa mbele.
 
Nenda kwa mganga wa jadi uweke mambo sawa, mapenzi ukiyaendekeza yatakuua bure
Lazma utafute namna ya kupunguza headache zisizo za maana
 
Mapenzi ni jipu pia...ngoja H.E Dr Magu aingie ukanda huu tuisome namba!
 
Wana bodi mm ni kijana 30yrs o'levels 2008, leo hii nimmachnga, nilibahatika pata mchumba 2014, yy ana degree ya uhasibu. Mahusiano yetu yamedumu kuanzia 2014 hadi 2016February, maana yy kwa sasa nimuajiliwa serikalini, tumegombana na sababu yenyewe yy sikumpata kwenye simu siku moja baada ya yy kwenda course dar. Mwanzoni tulikuwa tunawasilana vizuri tuu baada ya mwezi mmoja, mwenzagu latiba zikawa nyingi mara atoke aende sinza usiku SAA6 kutafuta chakula , kwasababu tulikuwa tunawasilana mm sikuwa na shida na hilo, cku moja kuanzia saa4 hadi saa 3asubuhi kesho yake simu ndo zinapatikana, kwasababu mm sijazoea ile hali nilchanganyikia nilimtukana sana maana nilihisi ameshaanza cheetin, sababu alizotoa ni kwamba simu zote mbili hazikuwa na chaji, hapohapo usiku niliangakia last seen yake inaonesha alikuwa online saa8:43usiku mm nilishindwa kuelewa, nikamtaka asinitafute hadi anipe sababu za kuridhisha, kwa sababu hiyo course inachukua miezi4 tumekaa miezi 2 bila mawasiliano mwishoni nnatumiwa sms kuwa amechoka kusubiri hasila zangu ziishe ndipo alipo nitaka kila mutu afanye maisha yake. Nkakaa kmya!! Mwishoni sasa hapa kwa sababu nimeona soln hakuna mm nilimtafuta ili yaishe, lakn alicho niambia hataki kuwa na mm na kwa sasa yupo kwenye uhusiano mwingine hataki kusikia kuhusu mm. Nmemuomba anisamehe hataki. Nnalia sana maana nilisha muzoea sana na nnamtoto nae mmoja ana miezi 5, wakati yupo kozi alimuachisha ziwa ili awe ana muda mzuri wa kusoma akampeleka kwa bb ake huko dar. Nipo hapa kuomba maoni yenu maana mm adi sasa cjui cha kufanya, umefanya hivyo kwa sababu cjamtafuta 2months yy amaamua kufanya maisha mengine

Nyanda ule nsukuma ohe ubhebhe?
 
Kuna wizara mpya imeanzishwa na raisi mwenye kasi ya ajabu nayo ni wizara ya Mapenzi, Uchumba, Kuoana na taraka.

Waziri mwenye dhamana Siku ya kwanza tu alipoteuliwa alilia sana maana alikuwa na uchungu na watu wanavyopigana chini.

Ameahidi kufuta mitandao ya kijamii na kuondoa bundles (mb's) ili watu wasiwe na access na mitandao.

Amesema kuwa kwasasa hata ukiwa na smartphone haitakuwa na kazi zaidi ya kupiga picha.

Amewataka wanaonunua simu za gharama kuacha maramoja maana ndio chanzo cha migogoro kwenye mahusiano. Amesema ni bora MTU akanunua simu za promosheni au tecno, huawei na itel ambazo hata ukitaifishwa na mamlaka haitakuuma sana.

Pia amesema kuanzia sasa hakutakuwa na taraka maana kama watu walikubaliana na kufunga ndoa wenyewe kwanini waachane. Alisema kama wanandoa hawa walitongozana, wakakubaliana, wakachunguzana, wakapelekana gest na maghetoni wakaonjana baadhi yao na baadae wakataarifu wazazi kuwa wanataka kuoana iweje Leo watake talaka? Hayo ni matuminizi mabaya ya rasilimali ubongo.

Ni huko nchi za nje!
 
"Ukichimba kisima ili watu wapate maji na wewe utapata, lakini ukichimba kisima ili ufukie watu kumbuka utafukiwa na wewe lasivyo uhame mtaa."
 
Wana bodi,

Mimi ni kijana 30yrs o'levels 2008, leo hii nimmachinga, nilibahatika pata mchumba 2014, yeye ana degree ya uhasibu. Mahusiano yetu yamedumu kuanzia 2014 hadi 2016February, maana yeye kwa sasa nimuajiliwa serikalini, tumegombana na sababu yenyewe yeye sikumpata kwenye simu siku moja baada ya yeye kwenda course Dar.

Mwanzoni tulikuwa tunawasilana vizuri tu baada ya mwezi mmoja, mwenzagu latiba zikawa nyingi mara atoke aende sinza usiku SAA6 kutafuta chakula, kwasababu tulikuwa tunawasilana mimi sikuwa na shida na hilo, Siku moja kuanzia saa4 hadi saa 3asubuhi kesho yake simu ndio zinapatikana, kwasababu mimi sijazoea ile hali nilchanganyikia nilimtukana sana maana nilihisi ameshaanza cheeting, sababu alizotoa ni kwamba simu zote mbili hazikuwa na chaji, hapohapo usiku niliangakia last seen yake inaonesha alikuwa online saa8:43usiku mimi nilishindwa kuelewa, nikamtaka asinitafute hadi anipe sababu za kuridhisha, kwasababu hiyo course inachukua miezi4 tumekaa miezi 2 bila mawasiliano mwishoni nnatumiwa sms kuwa amechoka kusubiri hasila zangu ziishe ndipo alipo nitaka kila mutu afanye maisha yake.

Nikakaa kmya! Mwishoni sasa hapa kwasababu nimeona soln hakuna mimi nilimtafuta ili yaishe, lakini alichoniambia hataki kuwa na mimi na kwa sasa yupo kwenye uhusiano mwingine hataki kusikia kuhusu mimi. Nimemuomba anisamehe hataki. Ninalia sana maana nilishamzoea sana na ninamtoto nae mmoja ana miezi 5, wakati yupo kozi alimuachisha ziwa ili awe ana muda mzuri wa kusoma akampeleka kwasababu yake huko Dar. Nipo hapa kuomba maoni yenu maana mimi hadi sasa sijui cha kufanya, umefanya hivyo kwasababu sijamtafuta 2months yeye amaamua kufanya maisha mengine.
Sasa kama ni mpenzi wako hakutaki vipi tena??
 
Last Activity: 1 minute ago
Joined: Wednesday
Messages: 3
Likes Received: 0
Trophy Points: 1
Birthday: Jan 1, 1970 (Age: 46)
Hahaha...... Naona umemshika nyoro.

Huyu hiyo thread atajuta....
 
Back
Top Bottom