Mpenzi wangu anawashwa sana

Chebe17

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
275
Reaction score
67
Huwashwa sana sehemu za chini, alishaenda kupimwa hakukutwa na ugonjwa wowote, hii humtokea mara moja moja saana, ila hanuki hata kidogo. na nimsafi sana wa huko chini, ila akiwa katika hali hiyo akisha pata bao kunanyamaza kuwasha. jee hii ni kawaida kwa wanawake woote?
 

Hiyo ni nyege tu, anataka kunwa huyo
 
picha mkuu, hasa anapokunwa hadi anapewa bao, teh teh teh!

maumivu yakizidi.... mwone daktari!
 

Mkuu very soon mrembo anakukimbia, kaza msuli ktk ligwaride
 
huyo atakuwa na ukurutu, atumie maji ya betri kuosha hayo maeneo atapona kabisa
 
ana fangas huyo!

Hana. Na watakuwa wa aina gani wasioonekana kwenye vipimo. Labda kama walivyoshauri wengine labda ni kuwashwa kwa nyege. I dont know
 
heeeeeeeh labda sababu sijaingia kwenye ndoa ila sijui chochote so naona nipite njia aiseeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…