OK ni kweli kuna matatizo kama hayo huw yana tokea kwa akina dada
1 je mnaandaana kimawazo kuwa mnataka muingie kwenye lile tendo
2 je ameshawahi kuugua ugonjwa wa zinaa
3 ameshawahi kutoa uja uzito
kuna tatazo moja kwa kitaalamu linaitwa PID pelvic inflamatory disease huwa ina patikana kama mwanamke amepata any infection kwenye vaginal wall auaround the cervix dalili zake ni kuumia wakati wa tendo la ndoa na pia kutokwa damu wakati wa tendo hilo tiba yake ni antibiotics kwa wiki moja anaweza kutumia ceftriaxone injection flaggyl, ciprofloxacin and doxycline wakati wa matibabu asifanye tendo la ndowa
1 je mnaandaana kimawazo kuwa mnataka muingie kwenye lile tendo
2 je ameshawahi kuugua ugonjwa wa zinaa
3 ameshawahi kutoa uja uzito
kuna tatazo moja kwa kitaalamu linaitwa PID pelvic inflamatory disease huwa ina patikana kama mwanamke amepata any infection kwenye vaginal wall auaround the cervix dalili zake ni kuumia wakati wa tendo la ndoa na pia kutokwa damu wakati wa tendo hilo tiba yake ni antibiotics kwa wiki moja anaweza kutumia ceftriaxone injection flaggyl, ciprofloxacin and doxycline wakati wa matibabu asifanye tendo la ndowa