Mpenzi wangu anaota anaingiliwa kimwili usiku

T-Bagwell

JF-Expert Member
Apr 6, 2017
1,243
2,378
Habari wana Jf?

Mpenzi wangu anaota ndoto usiku kama kuna mtu ana muingilia kimwili nyakati za usiku
Mtu anakua hamuoni, anasema hii ni mara kama ya nne.
Ila mara ya tatu anasema alijikuta amechafuka.

Nini inaweza kuwa sababu na jinsi gani tunaweza suluhisha hili tatizo.

Hatukai pamoja.


Comment yako naomba iwe ya msaada.
 
Mmmh mpaka anachafuka!
Hiyo sio kawaida jombaaaa huenda ni kweli anainguliwa kimazingara!
Kama mkristo tafuta mtumishi yeyote unayemuamini au kama muislamu watafute mashekh wakusaidie mkuu!
Hiyo Tabia nilishawahi sikia ilikuwa inamkuta MTU Fulani wa karibu enzi hizo alipangiwa kazi huko morogoro!
 
Mmmh mpaka anachafuka!
Hiyo sio kawaida jombaaaa huenda ni kweli anainguliwa kimazingara!
Kama mkristo tafuta mtumishi yeyote unayemuamini au kama muislamu watafute mashekh wakusaidie mkuu!
Hiyo Tabia nilishawahi sikia ilikuwa inamkuta MTU Fulani wa karibu enzi hizo alipangiwa kazi huko morogoro!
Itabidi nifanye hivyo mkuu, maana sio kawaida
 
Kwavile umesema hamkai pamoja basi huyo mpenzi wako inaonekana anajiheshimu sana na hana mchepuko,kinachomfanya aote anaingiliwa kimwili ni mawazo yake tu ambayo ameyaweka kwenye hilo tendo kwavile amelimisi kitambo, suluhisho jaribu kumpa hilo hitaji kila mara na hato ota tena hiyo ndoto coz hataweka sana mawazo yake kwenye hilo tendo,

Pia awe anafanya mazoezi mara kwa mara,

Comment yangu imebase kua huyo mpenzi wako ni wakike coz hukua specific,ila hata kama ni wakiume comment yangu pia itamfaa kama muhusika kwa upande wake.
 
Kwavile umesema hamkai pamoja basi huyo mpenzi wako inaonekana anajiheshimu sana na hana mchepuko,kinachomfanya aote anaingiliwa kimwili ni mawazo yake tu ambayo ameyaweka kwenye hilo tendo kwavile amelimisi kitambo, suluhisho jaribu kumpa hilo hitaji kila mara na hato ota tena hiyo ndoto coz hataweka sana mawazo yake kwenye hilo tendo,

Pia awe anafanya mazoezi mara kwa mara.
Tunakutanaga kimwili mara kwa mara, alaf kinachonipa wasiwasi ni aliponiambia kuwa mara ya tatu alijikuta amechafuka.
 
Back
Top Bottom