Hajulikani
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 273
- 252
Ongea kiswahili..How to make an awkward conversation less awkward in three simple steps.
1. Avoid silence.
2. Be an active listener.
3. Be polite.
4. Ponguza userious (be funny).
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wadau kuna haka katabia ambako sikapendi kwa mpenzi wangu.
Mnaweza mkawa mnaongea kwenye simu, akapigiwa simu na rafiki yake akakuweka hold mpka amalize kuongea na rafiki yake
Au mnaweza mkawa mko mahali mnaongea akatokea rafiki yake au mtu anamfahamu anakuhama hapo kwako anahamia kwa hyo mtu mwingine wanaongea mpka wamalize ndio arudi kwako
Hapo kwenye kuwekwa hold muda wa kuongea na simu, una uhakika anakuwa rafiki yake??? We jamaaa Wanakugongea.....Wadau kuna haka katabia ambako sikapendi kwa mpenzi wangu.
Mnaweza mkawa mnaongea kwenye simu, akapigiwa simu na rafiki yake akakuweka hold mpka amalize kuongea na rafiki yake
Au mnaweza mkawa mko mahali mnaongea akatokea rafiki yake au mtu anamfahamu anakuhama hapo kwako anahamia kwa hyo mtu mwingine wanaongea mpka wamalize ndio arudi kwako
Wadau kuna haka katabia ambako sikapendi kwa mpenzi wangu.
Mnaweza mkawa mnaongea kwenye simu, akapigiwa simu na rafiki yake akakuweka hold mpka amalize kuongea na rafiki yake
Au mnaweza mkawa mko mahali mnaongea akatokea rafiki yake au mtu anamfahamu anakuhama hapo kwako anahamia kwa hyo mtu mwingine wanaongea mpka wamalize ndio arudi kwako
True mkuu,.... ila madamu wengi wa Kitanzania hawanaga hobby yoyote, kila kitu anasema sawa hata kama hana ujuzi au passionate na hicho kitu au mchezo....wana bore kinomaHow to make an awkward conversation less awkward in three simple steps.
1. Avoid silence.
2. Be an active listener.
3. Be polite.
4. Ponguza userious (be funny).
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu acha kauli za ubaguzi mbona wahidi wengi wamesha kua waafrica na wanatabia za uswahilini kama wengine, kuna wengine huuza papuchi kwenye Kasino nyingi hapa Dar.......Ukitaka kufa kwa stress anzisha mahusiano na mwanamke wa Kiafrika.
Mimi na uzao wangu tutaoa Wahindi daima.
Pole Mkuu hapo hupendwi.
Hata mimi baba mimi na kizazi changu tutaoa nakuolewa na waarabuUkitaka kufa kwa stress anzisha mahusiano na mwanamke wa Kiafrika.
Mimi na uzao wangu tutaoa Wahindi daima.
Pole Mkuu hapo hupendwi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe mpuuze ili muwe mnapuuzana