Mpenzi wangu anakataa tuachane

Mpenzi wangu anakataa tuachane

estlyjonathan

Member
Joined
May 26, 2016
Posts
84
Reaction score
122
Habari zenu,

Kila nikijaribu kuachana na mpenzi wangu inakuwa ni ngumu sijui tatizo ni nini kuachana kwangu mi na yeye kutokana na vitabia vya ajabu yani kwanza ataanza kunisumbua kwenye simu mpaka basi mwisho wa siku anabaki kuomba samahani.
 
We jamaa aisee, tabia zinarekebishika ungeongea maumbile, like "mwanamke kuwa na domo fulani kubwa kwenye romance anakunyonya ww" hapo ningekuunga mkono.
 
Hujaamua tu kama tabia hizo za ajabu zakukera hata usingekubali kurudisha moyo wako nyuma


Kubaliana na hali yako!!

Madame S
 
Back
Top Bottom