estlyjonathan
Member
- May 26, 2016
- 84
- 122
Habari zenu,
Kila nikijaribu kuachana na mpenzi wangu inakuwa ni ngumu sijui tatizo ni nini kuachana kwangu mi na yeye kutokana na vitabia vya ajabu yani kwanza ataanza kunisumbua kwenye simu mpaka basi mwisho wa siku anabaki kuomba samahani.
Kila nikijaribu kuachana na mpenzi wangu inakuwa ni ngumu sijui tatizo ni nini kuachana kwangu mi na yeye kutokana na vitabia vya ajabu yani kwanza ataanza kunisumbua kwenye simu mpaka basi mwisho wa siku anabaki kuomba samahani.