Usishindwe nakupika ukasingizia Moshi,jikaze kiume ongeza dozi mpaka aone yule alikua anamkuna tuuBaada ya kuwanae faraga na mie kumaliza mambo yangu akaniambia mwenzio nilikuwa na X wangu ambaye halali. Alikuwa anashughulika paka paka panawaka moto ila wewe unanichukulia kama ndugu yako. Hii kauli imenichanganya sasa nawaza kumkimbia.
Unataka kufanya mfululizo bila kutumiaUsishindwe nakupika ukasingizia Moshi,jikaze kiume ongeza dozi mpaka aone yule alikua anamkuna tuu
mbona kama ningekua mimi mwanamme ningejituma sehemu kama hiyo,au ulikotoka ni kule kwenye Bao 1 halafu
tuonane baada ya mwezi?
Jamani kwenye mitu hakuna wajenzi,ebu kazana KAKA usiwe hivyoooo...
Mfululizo kivipi ebu kua Muwazi wakusaidie..Unataka kufanya mfululizo bila kutumia
Unamkunaje vizuri sasa hapo?Hapo juu hata sijaona kauli mbaya..... Huyo mwanamke amesema ukweli wake wa ndani kuwa humkuni vilivyo.... humrishishi vizuri kitandani..... What else do you want?? Timiza wajibu wako jombaa...... Hahahahahahhah....!!
Unamkunaje vizuri sasa hapo?
Subiri ukiwa kuku mkubwa huenda utakuwa jogoo.Baada ya kuwanae faraga na mie kumaliza mambo yangu akaniambia mwenzio nilikuwa na X wangu ambaye halali. Alikuwa anashughulika paka paka panawaka moto ila wewe unanichukulia kama ndugu yako. Hii kauli imenichanganya sasa nawaza kumkimbia.