Mpenzi wangu amenitolea kauli mbaya baada ya tendo

Baada ya kuwanae faraga na mie kumaliza mambo yangu akaniambia mwenzio nilikuwa na X wangu ambaye halali. Alikuwa anashughulika paka paka panawaka moto ila wewe unanichukulia kama ndugu yako. Hii kauli imenichanganya sasa nawaza kumkimbia.
Usishindwe nakupika ukasingizia Moshi,jikaze kiume ongeza dozi mpaka aone yule alikua anamkuna tuu
mbona kama ningekua mimi mwanamme ningejituma sehemu kama hiyo,au ulikotoka ni kule kwenye Bao 1 halafu
tuonane baada ya mwezi?
Jamani kwenye mitu hakuna wajenzi,ebu kazana KAKA usiwe hivyoooo...
 
Sasa mkuu hapo kuna kauli mbaya IPI? Tena Huyo mwanamke anastahili tuzo ya heshima....kuwa jasili kukuambia.....

Ulitaka akuambie umemridhisha... Siku ukisikia karudi kwa ex utafurahi?

Fanyia kazi ujumbe wake.
 
Usishindwe nakupika ukasingizia Moshi,jikaze kiume ongeza dozi mpaka aone yule alikua anamkuna tuu
mbona kama ningekua mimi mwanamme ningejituma sehemu kama hiyo,au ulikotoka ni kule kwenye Bao 1 halafu
tuonane baada ya mwezi?
Jamani kwenye mitu hakuna wajenzi,ebu kazana KAKA usiwe hivyoooo...
Unataka kufanya mfululizo bila kutumia
 
Hapo juu hata sijaona kauli mbaya..... Huyo mwanamke amesema ukweli wake wa ndani kuwa humkuni vilivyo.... humrishishi vizuri kitandani..... What else do you want?? Timiza wajibu wako jombaa...... Hahahahahahhah....!!
Unamkunaje vizuri sasa hapo?
 
Baada ya kuwanae faraga na mie kumaliza mambo yangu akaniambia mwenzio nilikuwa na X wangu ambaye halali. Alikuwa anashughulika paka paka panawaka moto ila wewe unanichukulia kama ndugu yako. Hii kauli imenichanganya sasa nawaza kumkimbia.
Subiri ukiwa kuku mkubwa huenda utakuwa jogoo.
 
Back
Top Bottom