Mpenzi wangu amebadilika ghafla

Za kuambiwa changanya na zako Mkuu. Pole sana piga kimya sasa.
 
Yaani kausha kabisa usimsemeshe lolote wewe mwangalie tu jali mambo yako achana naye atakupa stress tu ambazo hazina sababu unapaswa kuchukua maaamuzi magumu

sent from HUAWEI
The issue ni kuwa hata ukikaa kimya vipi kuna siku itafika huyo manzi ataanza kukusumbua kwa kukutafuta. They are born that way hahahaaaa....
Piga nyama chini....
 

Sasa fanya hivi...

Kuanzia leo usimtumie text wala kumpigia mpaka yeye akutafute asipokutafuta ndo ujue mwisho umefika.

Na akikutafuta usimshobokee, kuwa normal maana ukimshobokea imekula kwako.

Kuna swali umeulizwa hapo juu naona unalikimbia, je ulikula mzigo?
 
Sawa ndugu yangu, ntafanya kama mnavyonishauri!
 

Pole sana, fanya yako . Achana nae huyo.
 
Mkuu
nakubaliana na huu ushauri
 

IMENIBIDI NIANDIKE KWA HERUFI KUBWA ILI UNIELEWE KWANZA KABLA YA YOTE POLE SANA BROO

Ila naomba niende direct kwenye mada ikoo hivi wanawake ni watu wenye mambo mengi sana lazima usipowaelewa wataakumiza kichwa sana sasa naomba nikupe FALSAFA NANE kuhusu wanawake ukiona amefikia stage AMEBADILIKA GHAFLA unatakiwa ufahamu FALSAFA NANE

1.falsafa ya kwanza mwanamke anapokubadilikia inaonesha kuna jambo amekupigia kelele sana ubadilike lakini hubadiliki mpka kachoka

2.falsafa ya pili kuna mazingira mapya amekutana nayo sasa anaona wewe unampotezea muda

3.falsafa ya tatu anatingisha kibiriti wanawake always wanapenda kutingisha vibiriti jambo dogo wanalifanya kubwa ili akuone utachukua hatua Gani

4.falsafa ya nne kuna mtu amekutana nae kiuchumi yupo stable kuliko wewe na anataka kutia nia sasa wewe unaonekana kama kikwazo kwake

5.falsafa ya tano nguvu za njee inawezekana kabisa wazazi,marafiki au ndugu wamekaa nae na kumshauli aachane na wewe wanaona unampotezea muda wake

6.falsafa ya Sita mwanamke ameanza kupatwa na hofu kuna Dalili za wewe utamuacha uko mbali utamwacha

NINI CHA KUFANYA

ninachokushauli fanya ufanyavyo ukutane nae uso kwa uso mzungumze katika mazungumzo yenu hapo ndipo utapata picha kamili

Pia nakukumbusha don’t be hash to her ukiona amefika hatua hataki kuonana na wewe just be cool usichukue maamuzi kaa chini utulie
 
Naunga mkono hoja.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…