JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,906
- 10,759
Wandugu ebu munipe njia nimtie moyo huyu rafiki yangu hajitambui wala hana raha kabisaa.
Rafiki yangu huyu alichumbia mchumba tangu huyo mchumba akiwa form five, sasa huyo mchumba anasoma masomo ya Engeneer na anaona kama amepoteza matarajiao yake.
Mara ya kwanza alijua mchumba wake atasomea udakatari or phamacy. Ila kwa sasa ndio hivyo anasoma Engeneer na nimejitahidi sana kumshauri lakini hataki kusikia japo analia sana kwa vile anampenda sana binti hakuwa na mpango wa kumuacha alikini sasa ndo ivo tena.
Hoja yake iko sehemu hii.
1. Mke Engeneer hawezi kuwa nadhifu hata siku moja.
2. Atamuacha na kusafiri kila mara huku yeye akilea watoto
3.Hataweza kushiriki kikamilifu katika familia kwa ubize wa kazi zake
Sasa wanajamvi wazoefu ebu munipe nondozi za uzoefu nikamshauri huyu rafiki kabla hajafika mbali .
Angalizo, ushauri huo usije ukaniumbua mimi baadae.
Karibuni.
Rafiki yangu huyu alichumbia mchumba tangu huyo mchumba akiwa form five, sasa huyo mchumba anasoma masomo ya Engeneer na anaona kama amepoteza matarajiao yake.
Mara ya kwanza alijua mchumba wake atasomea udakatari or phamacy. Ila kwa sasa ndio hivyo anasoma Engeneer na nimejitahidi sana kumshauri lakini hataki kusikia japo analia sana kwa vile anampenda sana binti hakuwa na mpango wa kumuacha alikini sasa ndo ivo tena.
Hoja yake iko sehemu hii.
1. Mke Engeneer hawezi kuwa nadhifu hata siku moja.
2. Atamuacha na kusafiri kila mara huku yeye akilea watoto
3.Hataweza kushiriki kikamilifu katika familia kwa ubize wa kazi zake
Sasa wanajamvi wazoefu ebu munipe nondozi za uzoefu nikamshauri huyu rafiki kabla hajafika mbali .
Angalizo, ushauri huo usije ukaniumbua mimi baadae.
Karibuni.