- Thread starter
-
- #181
Hatukuwasiliana kama siku ama wiki hivi.......siku tumekuja kuwasiliana ni kwenye fb online tena......basi nikawa wazi nikamwambia aniambie ukweli yeye ni nani ......akaniambia why namuuliza nikamwambia niliyoyaona usiku ule kwenye sanduku lake....akaniambia niwe tayari akiniambia nimuahidi sintomwacha...nikamwambia sawa kabisaa...eeh akaniambia flani nimekupenda sanaaaa mimi huwa nafanya kazi chafu sanaaaa yani nikikwambia kazi chafu ni chafu haswaaa huwa narecord wanawake ninaolala nao haijalishi wapo vipi.....wewe nimekuonea huruma sana umenipenda na kuniamini hauna makubwa......huwa nakurecord ikawa haujui na kisha nikimalizana na wewe na nimekusoma una hela huwa nina kutumia cleap yako kwa kukutajia gharama zangu ukipinga nairusha hewani ..........duh nikamuuliza kwa mpenzi why ufanye hivyo akanijibu ni baada ya kutendwa na girlfriend wangu nimeamua kuwa na visasi sanaaaaaaa mbona nshalamba mauchi ya akiana ( akaanza taja majina ya wanawake wakuuuubwa mawaziri) ukitaka naweza kukutumia cleap ila ufunge mdomo na hela sana sana nshavuta toka kwao......nikamwambia tuma nione