Mpenzi kanichunia

ubuntuX

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
1,997
Reaction score
2,242
Habari wakuu.

Mpenzi wangu wa collage juzi alinijia huku akilia kwa uchungu na kuniambia "nimetumia pesa yangu yote ya matumizi katika abortion na sasa sina pesa".

Kwa mahaba nikamfuta machozi mpenzi wangu na kumwambia"Mpenzi wangu hata usijali kabisa,abortion inayofuata ntalipa mimi" Sasa wakuu toka siku hiyo kanichunia mpaka leo, mimi kosa langu nini hapo.
 
Kosa lako ni kusema next abortion utailipia.kama ni kweli aliabort.itakua imemuuma sana afu na wewe wala haujali,afu eti mpenzi wako.ni kwamba haumthamini. You dont care afya yake,ni sawa kwako umpe mimba na kuitoa kama mchezo wa kuigiza.you were not serious and still not serious ubuntuX.na awe amekukimbia kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo mimba aliyo abot ni yako? kwani mna mpango wa kuabot ngapi mpaka useme abosheni inayofuata utagharamia wewe?
 
Ana haki ya kununa, ulitakiwa uonyeshe kusononeshwa na jambo hili. Lakini hukutakiwa kusema ulichosema zaidi ungeweza kutoa pesa ya kuisaidia masuala ya lishe.
 
Hayo majibu yako yamekosa upako kwa mpenzi wako na alichohitaji hapo sio cost ya next pregnant bali ni kumwezesha kwa muda huo na hiyo ilkuwa gia tu ya kukuingilia
 
Yah yale majibu hayakua mazuri,lakini hakuniambia kama nimemuudhi pale pale yeye akanichunia tu
 
Dah JF INA matahira kuliko mtandao wowote ule duniani.

Yaani mmetoa mimba na bado MNA mpango huo tena

Then unakuja kujisifia humu!!
 
duuh.. kwa kweli naskitika kuona watu mnaongelea abortion kama kamchezo cha kufuga nywele na kukata zikiota... wewe si mwanaume mwenye akili timamu.. i think you are under 15 yrs old. "eti inayofata nitatoa hela mimi" shame upon you dick, dickheaded wewe. na ndiyo anakuacha hivyo akirudi mwambie yeye ni mjinga + wewe pia!
 
Dah JF INA matahira kuliko mtandao wowote ule duniani.

Yaani mmetoa mimba na bado MNA mpango huo tena

Then unakuja kujisifia humu!!
umeona eeh... its so saad yani...
baadae wanakuja tafuta watoto hawaji wanaanza kushinda kwa kina kalumanzila.
 
Waharibifu@work!!! mkifikisha abortion 6 mruhusu binti akaolewe basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…