Hiyo mimba aliyo abot ni yako? kwani mna mpango wa kuabot ngapi mpaka useme abosheni inayofuata utagharamia wewe?Habari wakuu
mpenzi wangu wa collage juzi alinijia huku akilia kwa uchungu na kuniambia "nimetumia pesa yangu yote ya matumizi katika abortion na sasa sina pesa"Kwa mahaba nikamfuta machozi mpenzi wangu na kumwambia"Mpenzi wangu hata usijali kabisa,abortion inayofuata ntalipa mimi" Sasa wakuu toka siku hyo ndo kanichunia mpaka leo..sasa mm kosa langu nini hapo?
Yah yale majibu hayakua mazuri,lakini hakuniambia kama nimemuudhi pale pale yeye akanichunia tu
dunia ina watu na viatu
Sasa huyu ni mtu au kiatu?
umeona eeh... its so saad yani...Dah JF INA matahira kuliko mtandao wowote ule duniani.
Yaani mmetoa mimba na bado MNA mpango huo tena
Then unakuja kujisifia humu!!
Sasa huyu ni mtu au kiatu?