Mpenzi hataki niende Jeshini

Anaogopa nn au anafikiri ukirudi dushe litakua la bakabaka.
 

Mkuu huwa unatumia kinywaji gani?
 

kama yeye ndo alikulipia ada msikilize.utasubiri sensa upate dili
 
Unapangiwaje hatma ya maisha yako na mtu umuitaye "mpenzi" wako...!!!
 
Hasira sana kukutana na watoto kama nyinyi ambao hamuwezi kuamua hatima ya maisha yenu, pole najua umri wako ni mdogo. Usikubali hatima ya maisha yako akaamu mtu mwingine wakati una uwezo wa kufanya hivyo. Nenda jeshini dogo.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
#Wasukuma mnazidi nitia aibu aiseee....

Mwingine jana kagongwa nyoka anafanya mapenzi porini...wewe nae unamsikiliza mwanamke.

Mi nnavojua mwalimu wa hawa viumbe alishadanchi na alikuwaga na mtindio wa ubongo na alikuwa haoni vizuri mbaya sana kawarithisha kila kitu hadi kufikiri.

Maamuzi yao ndo ivo tena yametawaliwa na kiuno. Kazi kwako, hicho unachouliza mwenzio umewazia kwa kutumia kiuno sio kichwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Huyo Achana Naye Kuna Madada Wengi Sana Wako Single Humu Ukishapata Kazi Njoo Utangaze Nia Hapa Utawapata
 

Sioni kama msimamo wa msichana ni wa kukosa upendo. Asiye na upendo atakuruhusu hata kufanya ujambazi mradi ale na siku ukiuwawa au kutiwa mbaroni anahamia kwa mwingine siku hiyo hiyo. Anayekuchagulia kazi ya kufanya "anakupenda sana". Yeye si anaona shida unazopata? Na pengine hata mahitaji ya msingi humtimizii lakini anavumilia ili mradi upate kazi atayoridhika nayo.
Tukija kwenye kazi ya jeshi tambua kuwa kazi ya msingi ya mwanajeshi ni "kuua". Hizo lugha za "kulinda mipaka ya nchi" ni kuzunguka tu. Mtu mwingine lile wazo la kuajiriwa kazi ya "kuua" halikubaliki akilini mwake. Na mke anaweza kuhofu kuwa ukatili unaojifunza jeshini unaweza kuuhamishia nyumbani pale atakapokuudhi!
Pia huenda anahofia ujane wa mapema maana unaweza kutumwa Nigeria kupambana na boko haram likarudi jeneza!
Pia fikiria askari kutumwa nje ya nchi na kukaa miaka 3 huko bila kuonana na familia!
Kwa hiyo binti ni lazima asikilkilizwe na suala hili lisihusishwe na upendo maana tatizo si upendo ni aina ya kazi.
 

Ingekuwa vyema kama binti angekuwa anampa option zingine za life lakini kama yeye anataka tu usiende then baada ya hapo hakuna kinachoendelea...ili hali wewe kuna watu kibao wanakutegemea...na kuhusu ukatili basi kama watu wote wangekuwa na mawazo hayo basi wanajeshi wasingeoa...
Na kuhusu kufa au kubaki mjane basi watu wasingeoana kwa maana wangekuwa wanaogopa kufa wenzi wao na kubaki wajane....kinachotakiwa kama unapingana na mpenzi kwenye jambo linalogusa future yenu toa option zingine tena zenye mashiko..ili mtu ajipime mwenyewe...sio mtu anapata chansi alafu tu unamuambia mimi sipendi hivyo ngoja mungu atakupa nyingine...
 
hata mi nlikatazwa sahv ngekua zangu mjeda natembea kifua mbele...nenda tu mwayego
 
Njoo jeshn dogo achana Na uyo mwanamke kwanza ukifika uku hutamtaka tena uyo....wazur wengi njoo uwe kamanda
 
Nenda jeshini kwanza, ukishamaliza halafu ukarudi na kukuta ameolewa unaenda kufata platoon yote mliotoka mafunzoni kuja kuvamia wanapoishi na huyo mume wake mpya mnatembeza vipigo kwa wanaohucka na wasiohucka
 
ivi unajua kazi ya jeshi ni moja kati ya kazi zinazotakiwa uwe na uwamuzi mzuri na wa haraka sana.sasa ww unataka kwenda huko alafu eti GF kanizuiya naombeni ushauli khaaaa!!!ivi ww sikulaumu lkn jipime tena kwanza.kazi unayotaka kwenda alafu unapigwa mkwala na GF !!hhhahaha kweli tupo tofauti
 

Attachments

  • 1424523081993.jpg
    10.4 KB · Views: 159
Mi nahisi mtu akikataa anatoa na sababu, mtoa mada hajafafanua hilo.
Mwanaume anaruhusiwa kuoa mwanamke ambaye si mwana jeshi lakini kuna kipindi nilisikia mwanamke mwanajeshi haruhusiwi kuolewa na raia...
Nisaidieni wadau hii ina ukweli wowote?
 
Hebu jaribu kuongea nae kwanza, kwani yeye anahofia nini?
 
Nenda jeshini kwanza, ukishamaliza halafu ukarudi na kukuta ameolewa unaenda kufata platoon yote mliotoka mafunzoni kuja kuvamia wanapoishi na huyo mume wake mpya mnatembeza vipigo kwa wanaohucka na wasiohucka

achukue kombania kabisa alafu wampige huyo jamaa funga fungua za kutosha, nyakuanyakua za kutosha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…