kaa nae chini muulize, anapenda wewe uwe nani na nafasi gani katika kazini? akijibu, mwambie unampa mwezi 1 wa yeye kuhakikisha unakuwa kazini. na kama akisema anataka uwe mjasiriamali, mwambie akupe mtaji wa kutosha wewe kufanya kile unachotaka, au akutafutie kazi kabla ya june 2015, uwe kazini na mshahara mnono unapata.
akijikanyaga mwambie mimi naenda jeshi, nikimaliza nakuoa na maisha yanaendelea, ukimtukuza sana unaweza ukashangaa cku ya cku anakuacha ktk mataa anaenda na Dangote.
ila mtie moyo, mwambie ni muda mfupi tu mama nitakuwa nimemaliza kozi usijali.