Mpenzi anataka nisinyoe

Mpenzi anataka nisinyoe

Ana ile kitu "barabara isiopitiwa lazma iwe na nyasi"
usinyoe kama zimekuwa kero weka easy wave maisha yaendelee
 
Mie nilikuwa sijui kama (ashakum si matusi) mavuzi siku hizi yamekuwa kufuli na hivyo njemba kushindwa kugegeda lol!!!
BAK acha uoga wa BAN...mavuzi si tusi, haihitaji ashakum!

hehehe...!!!! pata picha unaingia ulingoni na bidada mrembo kweli nje...halafu unakuta Amazon ndogo....ashiki lazima ishuke!
 
Last edited by a moderator:
Aliyekwambia naogopa BAN nani!?

BAK acha uoga wa BAN...mavuzi si tusi, haihitaji ashakum!

hehehe...!!!! pata picha unaingia ulingoni na bidada mrembo kweli nje...halafu unakuta Amazon ndogo....ashiki lazima ishuke!
 
Wadau mpenzi wangu anataka nisinyoe maeneo kisa kazi yangu ni ya kusafirsafiri ana wasiwasi nita cheat,nimevumilia sasa naona nywele zimekuwa nyingi mpaka imekuwa kero,msaada jamani nimwambie nini ili anielewe kuwa mimi namheshimu kwani kila nikimwambia nipunguze hata kidogo hataki!

Hayatuhusu kabisa. This is your private business. Kama huna cha kuandika tulia kimya. Soma michango ya wenzako.

 
Back
Top Bottom