nakuhofia wewe tu jaman
ni utoto 2, akikua ataacha, mi mwenyew nilikua napenda sana kuvaa hzo pete miguuni, vikuku na cheni kiunoni nilivyokua chuo, ila sa hiv nmeacha, ni ujana tu huo kaka, mwache amalize akija akakuvalia uzeeni mkiwa mshaoana ndo utaona ajabu zaidi....
Kama ushamgegeda mwacheWakuu, Heshima kwenu, moja kwa moja kwenye lengo la Uzi huu.
Nina Mpenzi, tumekuwa pamoja for a while now, ila nagombana nae kitu kimoja tu, kila siku. Anapenda sana kuvaa pete kidole cha pili baada ya dole gumba, tena miguu yote miwili, nishamsihii sana, azivue lakini, husema nitavua, lakin hazivui, tukakubaliana, asije kwetu mpaka azivue, lakini keshakuja twice na hajazivua.
Kiufupi, mimi sipendi avae pete mguuni, naoana kama ni Ushangingi, naona kama nikimezea, kuna siku nitamkuta na vikuku, ni vitu vya kawaida kwa wengine, lakini kwangu vinanikera mno.
Sasa jaman, nifanyeje? Naombeni Muongozo maana, nakuwa simuelewi, namuuliza sabau ya kuzivaa, hanipi jibu la maana, au alivishwa na x wake nn? Sasa anaziacha kama ukumbusho? Au ni nini? Mi sielewi, nachoelewa nakereka na hii hali na nataka iishe. Nifanye nini?
Thanking you in Advance.
Mkuu, sijashindwa kumuacha, but is it the right reason for me to make such a decision? Nadhan ndio swali naloomba mnisaidie kufahamu tuu Mkuu.
kwa sababu anampa utamu
Unaelewa, hupangi kumpenda mtu, hupangi kuwa na mtu, kuna vinavyokufanya mpaka unatokea kupendezwa na mtu, pia kila mwanadamu ana madhaifu yake, baada ya kusema atazivua, niliamini, n mpaka sasa bado nampa hiyo nafasi, what i want from you friendz ni ushaur, on how to handle this well...
Kuna kipindi nilizimika kwa binti mmoja hivi..baada ya mda nikagundua ana bonge la 'chata' mkononi, karibu na bega..niliondoka kimyakimya..!!
naelewa mapenzi hayapangwi lakini vigezo vinapangwa, anyway sizani kama kuna jinsi ya tofauti ya ku handle hiyo issue zaidi ya wewe kumwambia kwamba hupendezwi na yeye anatakiwa akuelewa, sasa asipoelewa na kama kweli unampenda basi chukuliana nae hivyo hivyo ifanye kama moja ya madhaifu yake manake husitegemee kuna mkamilifu unaweza kumuacha huyo akaja mwingine ana magumu zaidi, sasa utaacha wangapi
Mkuu kwenye bega tu ndio ukakimbia ungekuta chata kwenye KULUPU si ungezimia
huo sio urembo ni ishara kwamba anagawa tigo pole bro muelewe ndo umvue.Wakuu, Heshima kwenu, moja kwa moja kwenye lengo la Uzi huu.
Nina Mpenzi, tumekuwa pamoja for a while now, ila nagombana nae kitu kimoja tu, kila siku. Anapenda sana kuvaa pete kidole cha pili baada ya dole gumba, tena miguu yote miwili, nishamsihii sana, azivue lakini, husema nitavua, lakin hazivui, tukakubaliana, asije kwetu mpaka azivue, lakini keshakuja twice na hajazivua.
Kiufupi, mimi sipendi avae pete mguuni, naoana kama ni Ushangingi, naona kama nikimezea, kuna siku nitamkuta na vikuku, ni vitu vya kawaida kwa wengine, lakini kwangu vinanikera mno.
Sasa jaman, nifanyeje? Naombeni Muongozo maana, nakuwa simuelewi, namuuliza sabau ya kuzivaa, hanipi jibu la maana, au alivishwa na x wake nn? Sasa anaziacha kama ukumbusho? Au ni nini? Mi sielewi, nachoelewa nakereka na hii hali na nataka iishe. Nifanye nini?
Thanking you in Advance.
Yaani hilo ndio kubwa, sijataka kutumia ubavu, nime apply diplomacy, nampa muda wa kufanya maamuzi, nilimuuliza, kwann hatak kuzivua, akasema, kwasababu anapenda kuzivaa, nikamwambia, most women wanao vaa hivyo huingia ktk category ya wanawake wahuni, malaya, na mashangingi, though sio wote kweli huw na tabia hizo. Lakini kubwa kuliko yote, nyumban sintoeleweka, nitaonekana kama nimeokota malaya njian na kumleta home, japo sio kweli, but it will take a while for them to understands her, na hiyo itakwamisha kwa kiasi kikubwa mipabgo mingi, ambayo nitahitaji baraka toka kwa Wazee wangu. Nimemwambia, kama kweli ananipenda, she will Listen, soo am watching her, Ukipita Mwezi hajafanya nachomuagiza, i will Let her Go, sipendi kuingia na kutoka ktk mahusiano, napenda ku settle but, kila nikiwaza kufanya hivyo vinaibuka vitu, basi najikuta nalazimika kusepa. Either i am the Problem, ama they are the problem, or my choices are not wise, ama sijui kumhandle mwanamke. Sijui tatizo liko wapi, but i will find it and CORRECT IT INSHAALLLAH.
nimeacha mwaya, ila nna mpango wa kuirudia:glasses-nerdy:Hata cheni kiunoni umeacha kuvaa?