Mpenzi ananizingua

Alikuwa amezivaa, na nilimwambia sivitaki, akasema atazivua, mpaka sasa hajazivua.

Sasa na wewe ulianzaje mahusiano na mtu wa namna hiyo, kwani wasiovaa hivyo vitu hukuwaona? wanaume wengi mnatabia hizo, unakuta mkaka ataka mahusiano na msichana anaevaa suruali wakianza mahusiona anamwambia hataki avae wakati wasio vaa hizo suruali aliwaona, sasa ni hivi ndugu yangu hapo labda tu uamua kuachana nae utafute mwenye vigezo unavyovitaka lakini usitegemee atabadilika
 
Una shindwa nini kumuacha??

Mkuu, sijashindwa kumuacha, but is it the right reason for me to make such a decision? Nadhan ndio swali naloomba mnisaidie kufahamu tuu Mkuu.
 
Mkuu, sijashindwa kumuacha, but is it the right reason for me to make such a decision? Nadhan ndio swali naloomba mnisaidie kufahamu tuu Mkuu.

reason siyo pete.. sababu ya kumwacha ni yeye kutokusikiliza ... alafu wewe na yeye ni usiku na mchana... ana mambo yake na maisha yake lazima mtengeneze maisha mtayoishi pamoja ya kuelewana,,, sasa kama hataki now unategemea mkiwa na miaka 2 kwenye mahusiano si vita tayari.... ishi kesho na si leo kijana
 

Unaelewa, hupangi kumpenda mtu, hupangi kuwa na mtu, kuna vinavyokufanya mpaka unatokea kupendezwa na mtu, pia kila mwanadamu ana madhaifu yake, baada ya kusema atazivua, niliamini, n mpaka sasa bado nampa hiyo nafasi, what i want from you friendz ni ushaur, on how to handle this well...
 

Hivi kuna mwanamke asiyevaa suruali karne hii.? Mie bora wangu avae suruali kuliko kimini..!
 
jamaa hana hela ndo maana dem hataki kuvua.akuulize wewe jinsi ninavyomwaga hela kwako
 

Mkuu nimeipenda hii...!
 
Hivi kuna mwanamke asiyevaa suruali karne hii.? Mie bora wangu avae suruali kuliko kimini..!

Wapo bn nawe m mwnyew sivaigi mbn navaa ndefu ka nn

Bro mtoa mada pole zako .... km vp mvumilie ukiendelea kumkanya na pete zake hzo asipoelekea tn utakua utovu wa nidham ndo hpo uamue mwnyw kumvumilia au separing eeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…