Senorita23
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 388
- 481
Wanawake wengi wanaoteseka kwenye ndoa zao s kwamba hawakuona dalili mbaya waliona sana ila waliendelea kujipa moyo kuwa ipo siku wapenzi wao watabadilika na hata walipoomba ushauri kwa ndugu zao waliwambia vumilia ndo wanaume walivo wakidai wanaume wa sku hz wamekuwa adimu kama kuna mtu amekutana na haya mambo aje asimulie kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app