Mpenzi aliye "busy" siku zote

Wanawake wengi wanaoteseka kwenye ndoa zao s kwamba hawakuona dalili mbaya waliona sana ila waliendelea kujipa moyo kuwa ipo siku wapenzi wao watabadilika na hata walipoomba ushauri kwa ndugu zao waliwambia vumilia ndo wanaume walivo wakidai wanaume wa sku hz wamekuwa adimu kama kuna mtu amekutana na haya mambo aje asimulie kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma baadhi ya maoni ya wadau humu, umetolewa ushauri very constructive.

Binafsi nimegundua Miss aggyjay unamnyima mwenzako mapenzi ndio maana huyo Boyfriend ako akaona bora ajiweke pembeni kwa style hiyo ya kujifanya yuko busy. Hilo yawezekana ndiyo mpango na msimamo wako labda hutaki sex mpaka ndoa, au mpaka uposwe n.k jambo ambalo mwenzako ameona kuchelewa au hakuwa na malengo yeyote na wewe zaidi ya uboifrendi na ugelofrendi tu.

Binafsi niliwahi kuachana na wadada 3 ambao walikuwa na mtazamo huo wa hakuna sex hadi ndoa, vitu vingine wanawake huwa mna complicate ikiwemo hilo suala la kunyimana kuti**na. Kwa Dunia ya sasa kushiriki ngono na mpenzi wako imekuwa sio option tena bali ni MUST kwa kuwa Tendo lile ndio Chachandu yenyewe ya kuboresha mahusiano kufikia NDOA.

Miss aggyjay tafakari umekosea wapi ili uweze kumrudisha ndege wako Tunduni.
 
Kuna mambo mawili, kwanza, hakupendi kama unavyompenda au ambavyo unatamani akupende. Pili, unamsumbua mara kwa mara. Unajua wakati mwingine wanaume hatupendi usumbufu mwingi hasa tunapokua kwenye mambo mengine yanayohitaji umakini au utulivu, japo haiwi bize kiasi cha hata kutoa salam au kumjulia hali mtu unayempenda.

Nahitimisha jambo moja tu, HAKUPENDI.
Mi pia nahitimisha "HAKUPENDI" maana kuna mwenzio namfanyia hayo hayo ulioainisha kwenye mada husika! Japo anaforce na malalamishi ni mengi ila nilifikia stage nikamchana kama vipi awe na mwanaume mwengine mie moyo wangu ushakufa ganzi. Anadai hawezi kuhangaika na wanaume wengine atavumilia mpaka niwe sawa!

Nimemwambia aendelee kuvumilia tu!
 
Vipi sasa mtoto "Senyora" hukuanzisha hata ka Valangati ili kuweka himaya yako sawa? Ama kwa vile ulikuta mwenzio ndio yupo kikaangoni ukakausha!
nishakuta sms kwenye simu ya baby wang manzi analalamika km ww unavyolalamika kwamba hatafutwii na bra bra kibaooo ila kwa upande wng mshikaji ananitafuta balaa 24/7 nilichokugudua km anakupenda LAZIMA atatenga muda kwa ajili yako..my dia hapo utakiwi toka mdog mdgo yan tena kmy kmy
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?

Yani jana Usiku tumeongea Nilifikiri yameisha. Kumbe waaala!

Ndo Umeamua kunifungulia na uzi kabisa. Ooouh.
Ila tambua nakupenda sana mpenzi uta enjoy sana baada ya kitambo kidogo tu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
1:Tambua kwa nini yupo busy/ nini kinachomfanya awe hivyo,.
2:Kuwa mkweli kwake kuwa unateseka kihisia anapokiwa anafanya hivyo ili ajue ni kwa namna gani anatenga mda wakuwasiliana na wewe hata kama yupo busy na kazi.

3:Hakupendi tena ila hajui ni kwa namna gani akuambie,.

4:Wewe ni msumbufu/unapenda kuwa karibu yake san so unamkera ?

5:

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii 4 ndio ilionifanya nikose upendo kwa yule binti japo hana shida nyingi! Very clingy like baby shiit on 'em diapers!
 
Kuna mambo mawili, kwanza, hakupendi kama unavyompenda au ambavyo unatamani akupende. Pili, unamsumbua mara kwa mara. Unajua wakati mwingine wanaume hatupendi usumbufu mwingi hasa tunapokua kwenye mambo mengine yanayohitaji umakini au utulivu, japo haiwi bize kiasi cha hata kutoa salam au kumjulia hali mtu unayempenda.

Nahitimisha jambo moja tu, HAKUPENDI.

Hitimisho lako limekaa kiuchonganishi.
Hebu mtuache wenyewe tunapendana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umeamuaje mpenzi wangu labda nikwambie kitu hamna kitu inakuaga mgumu kumtamkia mtu direct kuwa humpend ila huwa zinatumika ishara fulan ili angalau agundue aage mashindano shda huwa inakuja pale mtu hyo anapogoma kuaga mashindano jamn inaleta shda yan acha tu kwa nn hutak kuaga mashindano ya AFICON

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha we msenge chizi kwenye hio line ya mwisho 😀😀😀😀😀
 
Yawezekana unamsumbua sumbua sana nayeye sio mtu wa kupenda kuwasiliana kila muda(sio kila mtu anapenda kugandana gandana)
Au yawezekana pia jamaa hakupendi anatafuta namna ya kukuacha na kachagua a civil way(unaachwa kimya kimya dear)

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀 unajua sikuwahi experience ile hali ya kuwa mtu ulimingle nae kama rebound ukaja gundua humpendi halafu yeye kashakolea kwako! I almost feel like shiyt wheneveri see her texts or missed dials!

Kusema tuachane siwezi yani tafrani...ni dodging to kwa kisingizio cha ubize!
 
Pole sasa, hata mi imenikuta kuna manzi tunapendana sms kila siku, baada ya muda akawa sms hajibu, unampigia hapokei na tena hakutafuti Utasikia ni bussy mara wazazi had sasa napiga ananikatia simu makusudi

Lakn nikaja kugundua tiyar anamshikaji mwingine penzi lake amelielekeza huko , Ikabidi nitulie tu!!! Japo roho inauma


So na ww ni uhakika %100. HAKUPENDI



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah usiombe kukutwa na bwana pepsi, hapo ndipo utapoona umuhimu wa ile ngoma ya Diamond na Shetta!
 
Back
Top Bottom