Bora wa kwako ana marafiki wa mbali anaochat nao.
Mie wa kwangu alikuwa anachat na watu waliopo hapahapa TZ. Kuitana sweety,mpenzi,darling na hao watu ilikuwa ni kawaida kwake, ukimuuliza anakwambia anakwambia ni maneno ya kawaida.
Ila kuna siku nkakuta njemba imemtumia msg ya kumpongeza kwa kumkatia mauno vuzuri kunako 6*6.
So ndugu yangu anza kuangalia chanel nyingine mapema. Hiyo ni dalili ya kukuchoka.
Mie wa kwangu alikuwa anachat na watu waliopo hapahapa TZ. Kuitana sweety,mpenzi,darling na hao watu ilikuwa ni kawaida kwake, ukimuuliza anakwambia anakwambia ni maneno ya kawaida.
Ila kuna siku nkakuta njemba imemtumia msg ya kumpongeza kwa kumkatia mauno vuzuri kunako 6*6.
So ndugu yangu anza kuangalia chanel nyingine mapema. Hiyo ni dalili ya kukuchoka.