Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
kuna mpemba alikuja unguja kutembea sasa akakutana hallat mzuri wa kiunguja mmpemba kadata ikabidi atongoze >mpemba ntoto wyee
wallah wanimaliza urefu kama nkarafuu mashaallah .mashaallah mashavuyoo yan' gara km papai bivu > fua lintuna km nazi koroma ayoo
maguuyo yanjaza km ndizi ya nkono wa tembo > hee nfikirie mwenzio naumia miyeee !!!! unaambiwa wacha achezee tuc kwa dem wa
kiunguja mie mitini hapo................................
wallah wanimaliza urefu kama nkarafuu mashaallah .mashaallah mashavuyoo yan' gara km papai bivu > fua lintuna km nazi koroma ayoo
maguuyo yanjaza km ndizi ya nkono wa tembo > hee nfikirie mwenzio naumia miyeee !!!! unaambiwa wacha achezee tuc kwa dem wa
kiunguja mie mitini hapo................................