Mpango wa UKAWA wajulikana

Mpango wa UKAWA wajulikana

keynessian

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
591
Reaction score
422
Habari wanabodi, ni matumaini yangu mnaendelea vizuri,
Imefahamika kwamba ukawa wanasubiri ccm ipitishe mgombea wake na atoke kwenye wale makada sita waliopo kifungoni, baada ya hapo watamshtaki mgombea huyo kwa sheria ya uchaguzi ya mwaka 2010,

Ikumbukwe kwamba sheria hii inakataza kuanza campaign kabla ya muda, na endapo mgombea akiyepitishwa atashtakiwa na kupatikana na hatia ya kuanza campaign chama chake hakitasimamisha mgombea uraisi, na hapo ndipo itakapokua kazi rahisi sana kwa ukawa, na endapo mgombea huyo atashtakiwa itangua ngumu sana kushinda kesi kwa sababu,kitendo cha kukubali Adhabu ya mwaka mmoja ni dhahiri walikubali kosa la kuanza campaign

Ingekua hawajakubali kosa wangekata rufaa
 
Hao wagombea wa CCM walishtakiwa mahakama gani? Siku zote Chadema uwa wanasema hawana imani na mahakama itakuaje hapo.
 
wakipata mgombe ndio itakuwa mwisho wa hii ndoa ya mkeka inayoitwa ukawa
 
Kwa hiyo wapinzani huko mikoani wameenda kujiandikisha kupiga kura au nayo ni kampeni?

Makada wa CCM wantumia katiba na kanuni za CCM ambazo huenda tafsiri yake ya kuanza Campeni inatokana na woga wa watangaza nia wengi kuwa ni mawaziri hivyo kuona wivu wa kuzidiwa kete na Raia kama Sumaye na munge tu kama Lowasa.
Hii inawauma makada wa CCM hasa mawaziri kuona kuwa hawana mvuto kwenye jamii.
 
Hii habari ilishakuwepo hapa toka mwezi wa tatu...toa ushuzi wako.
 
Inyeshe isinyeshei ukawa haina madhara ya kuwahi au kuchelewa,na watakua wa mwisho sababu kila chama lazima kiteuwe kwanza mtu wao
 
mleta thread anazunguka kichaka tu ila lengo lake ni kumpaka choo Lowasa ndani ua CCM ili CC isifanye technical error,ni timu zao tu za mafisadi ie joka la mdimu vs wapigwe tu vs spika wa bunge la katiba vs mamvi vs February Ma-rope etc!!
 
Habari wanabodi, ni matumaini yangu mnaendelea vizuri,
Imefahamika kwamba ukawa wanasubiri ccm ipitishe mgombea wake na atoke kwenye wale makada sita waliopo kifungoni, baada ya hapo watamshtaki mgombea huyo kwa sheria ya uchaguzi ya mwaka 2010,

Ikumbukwe kwamba sheria hii inakataza kuanza campaign kabla ya muda, na endapo mgombea akiyepitishwa atashtakiwa na kupatikana na hatia ya kuanza campaign chama chake hakitasimamisha mgombea uraisi, na hapo ndipo itakapokua kazi rahisi sana kwa ukawa, na endapo mgombea huyo atashtakiwa itangua ngumu sana kushinda kesi kwa sababu,kitendo cha kukubali Adhabu ya mwaka mmoja ni dhahiri walikubali kosa la kuanza campaign

Ingekua hawajakubali kosa wangekata rufaa

Nilikuthamini kama MCHUMI (Keynesian) kumbe ni MCHUMIA tumbo wa Thithiem,
Tangu lini mawazo yako keynessian yakawa mpango wa UKAWA?
 
Last edited by a moderator:

  • Habari wanabodi, ni matumaini yangu mnaendelea vizuri,
    Imefahamika kwamba ukawa wanasubiri ccm ipitishe mgombea wake na atoke kwenye wale makada sita waliopo kifungoni, baada ya hapo watamshtaki mgombea huyo kwa sheria ya uchaguzi ya mwaka 2010,

    Ikumbukwe kwamba sheria hii inakataza kuanza campaign kabla ya muda, na endapo mgombea akiyepitishwa atashtakiwa na kupatikana na hatia ya kuanza campaign chama chake hakitasimamisha mgombea uraisi, na hapo ndipo itakapokua kazi rahisi sana kwa ukawa, na endapo mgombea huyo atashtakiwa itangua ngumu sana kushinda kesi kwa sababu,kitendo cha kukubali Adhabu ya mwaka mmoja ni dhahiri walikubali kosa la kuanza campaign

    Ingekua hawajakubali kosa wangekata rufaa

Source plz
Kwa uandishi huu unategemea upate source ya wapi zaidi ya ku conclude kuwa source ni udongo uliojaa kichwani mwake!
 
Hao wagombea wa CCM walishtakiwa mahakama gani? Siku zote Chadema uwa wanasema hawana imani na mahakama itakuaje hapo.

Wewe neno Chadema limekukaa sana moyoni. Hebu onyesha wapi katika mada yake ameonyesha Uchadema? Angalia jina likikukaa Sana moyoni waweza kulitaja ukiwa na mmeo/mkeo kunako faragha ukaanzisha timbwili bure!
 
Hao wagombea wa CCM walishtakiwa mahakama gani? Siku zote Chadema uwa wanasema hawana imani na mahakama itakuaje hapo.

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Acha majungu kijana! Kichwa kinasema Mpango wa UKAWA wajulikana, wewe unaitaja CHADEMA, kwani CHADEMA ndio UKAWA?
 
Back
Top Bottom