Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,653
Nimemuangalia Magufuli akiongelea kuhusu masuala ya afya na kutoa ahadi mpya nyingi, mimi kama mdau wa afya ntaongelea kidogo hili jambo.
-Kwanza Magufuli na viongozi wengi hasa wa CCM, wanaonekana maswala ya afya na matatizo yake hawayajui kwa undani, na huongea mambo ambayo kwa kweli huyasikia juju na mitaani. Kwa mfano anaposema MADAKTARI na MANESI wanaiba dawa hospitali na kupeleka pharmacy zao nje ya hospitali sio kweli kwa sababu mbili.
1.Hizo pharmacy nje ya hospitali nyingi si za wafanyakazi wa afya, nyingi ni za matajiri wa kawaida hasa MAKADA wa CCM na ndo maana utaona hizo pharmacy zipo miaka nenda rudi, hakuna aliyezifunga, kuzichukulia hatua kwa kununua dawa za magendo kutoka hospitali au takukuru kukamata daktari au nurse yeyote kwa kuuza dawa pale.
2.Hospiitali nyingi za serekali hakuna dawa, mimi kuna kipindi nimefanya kazi hospitali hapo Dar, hakuna dawa labda viantibiotics kama ampicillin na paracentamol lakini huwezi kuta dawa za pressure, sukari, antibiotics kubwa kubwa. na hata kama zipo ni kwa siku mbili tatu zimeisha, sasa hizo dawa za kuiba zinatoka wapi..!? Kuna kipindi tulikua wodi ya akina mama(labour) inabidi wakati mwingine madaktari na murse mjichange kuninua CANULA ya kumwekea mama aliyejifungua maji, au kununua dawa kama oxytoc kwa ajili ya kusidia kinamama hasa wakati wa emergeny.
Kuna watu wanamshangilia magufuli lakini nani hajui kama una mama mjamzito inabidi anunue kit ya kujifungua na kwenda nayo hospitali..!?
-Ukija kwenye matatizo ya vitanda hospitali limekuwa tatizo sugu kama lilivyo la madawati shuleni...huwa najiuluza ivi serekali na CCM wangeamua hili tatizo lisinge isha una magereza na jkt wanatengeneza mpaka gari(nyumbu) wanashidwa kutengeneza vitanda kwa ajili ya hospitali..? Au ni utashi wa kuamua hakuna na ccm wanaona hawa MALOFA na WAPUMBAVU watalala chini tu.
-Ukiangalia kwa miaka ambayo KiKwete na CCM wamekuwa madarakani, wamepunguza kusponser wanafunzi kwa ajili ya masters mbali mbali, imepelekea kupunguza uzalishaji wa madaktari bigwa kupeleka hasa mikoani na wilayani(wakati huo wanaita hospitali za mikoa za rufaa) hapitali inakuwaje ya rufaa bila specialist na vifaa na dawa..
Leo Magufuli anasimama jukwani anaimba ngonjera na watanzania wanamshangili na kusema anasera..magufuli atafanya nini zaidi CCM wameshidwa kufanya good 50 years. Kweli mkapa hakukosea WABONGO ni MALOFA na WAPUMBAVU.
Hila la afya na elimu CCM wasidanganye watu, Miaka yote hawakuwa na nia ya kutatu matatizo kwa dhati. Magufuli ni vuvuzela..
-Kwanza Magufuli na viongozi wengi hasa wa CCM, wanaonekana maswala ya afya na matatizo yake hawayajui kwa undani, na huongea mambo ambayo kwa kweli huyasikia juju na mitaani. Kwa mfano anaposema MADAKTARI na MANESI wanaiba dawa hospitali na kupeleka pharmacy zao nje ya hospitali sio kweli kwa sababu mbili.
1.Hizo pharmacy nje ya hospitali nyingi si za wafanyakazi wa afya, nyingi ni za matajiri wa kawaida hasa MAKADA wa CCM na ndo maana utaona hizo pharmacy zipo miaka nenda rudi, hakuna aliyezifunga, kuzichukulia hatua kwa kununua dawa za magendo kutoka hospitali au takukuru kukamata daktari au nurse yeyote kwa kuuza dawa pale.
2.Hospiitali nyingi za serekali hakuna dawa, mimi kuna kipindi nimefanya kazi hospitali hapo Dar, hakuna dawa labda viantibiotics kama ampicillin na paracentamol lakini huwezi kuta dawa za pressure, sukari, antibiotics kubwa kubwa. na hata kama zipo ni kwa siku mbili tatu zimeisha, sasa hizo dawa za kuiba zinatoka wapi..!? Kuna kipindi tulikua wodi ya akina mama(labour) inabidi wakati mwingine madaktari na murse mjichange kuninua CANULA ya kumwekea mama aliyejifungua maji, au kununua dawa kama oxytoc kwa ajili ya kusidia kinamama hasa wakati wa emergeny.
Kuna watu wanamshangilia magufuli lakini nani hajui kama una mama mjamzito inabidi anunue kit ya kujifungua na kwenda nayo hospitali..!?
-Ukija kwenye matatizo ya vitanda hospitali limekuwa tatizo sugu kama lilivyo la madawati shuleni...huwa najiuluza ivi serekali na CCM wangeamua hili tatizo lisinge isha una magereza na jkt wanatengeneza mpaka gari(nyumbu) wanashidwa kutengeneza vitanda kwa ajili ya hospitali..? Au ni utashi wa kuamua hakuna na ccm wanaona hawa MALOFA na WAPUMBAVU watalala chini tu.
-Ukiangalia kwa miaka ambayo KiKwete na CCM wamekuwa madarakani, wamepunguza kusponser wanafunzi kwa ajili ya masters mbali mbali, imepelekea kupunguza uzalishaji wa madaktari bigwa kupeleka hasa mikoani na wilayani(wakati huo wanaita hospitali za mikoa za rufaa) hapitali inakuwaje ya rufaa bila specialist na vifaa na dawa..
Leo Magufuli anasimama jukwani anaimba ngonjera na watanzania wanamshangili na kusema anasera..magufuli atafanya nini zaidi CCM wameshidwa kufanya good 50 years. Kweli mkapa hakukosea WABONGO ni MALOFA na WAPUMBAVU.
Hila la afya na elimu CCM wasidanganye watu, Miaka yote hawakuwa na nia ya kutatu matatizo kwa dhati. Magufuli ni vuvuzela..