Hivi wizara ya maji inahitaji fedha kutoka hazina? Watuambie kwanza wamezalisha maji lita ngapi na wamekusanya kiasi gani na wametumia kiasi gani?
Kwanini wizara ya maji isiweke royalty ya shs 100 kwa viwanda vinavyotumia maji kama tbl azam cocacola na pepsicola.
Kwanini wasiweke fee za tanesco kwa kutumia maji ya mto kilombero kuzalisha umeme? Hiii vat tunayoshikana mashati haiwezi fanya kila kitu jamani