Naomba tuwekane sawa kwa hili
Kwa wale waliozaliwa MPANDA ya miaka ya sabini kurudi nyuma watakubaliana na mimi kuwa walikuwa wamezaliwa mkoa wa TABORA (waangalie vyeti vyao vya kuzaliwa) na kwa wale waliozaliwa miaka ya mwisho ya sabini kwenda mbele mpaka mwanzoni mwa 2011 wote waliozaliwa MPANDA wamezaliwa katika mkoa wa RUKWA na kwa wale waliozaliwa / watakaozaliwa mwishoni mwa 2011 (sijui mpaka lini) watakuwa wamezaliwa mkoani wa KATAVI
Naomba tuwekane sawa hapa wale waliozaliwa wakati MPANDA inaitwa TABORA halafu RUKWA leo hii wajitambulishe wamezaliwa MKOA gani?
Ni mimi niejua jina la mkoa niliozaliwa, asanteni.
Kwa wale waliozaliwa MPANDA ya miaka ya sabini kurudi nyuma watakubaliana na mimi kuwa walikuwa wamezaliwa mkoa wa TABORA (waangalie vyeti vyao vya kuzaliwa) na kwa wale waliozaliwa miaka ya mwisho ya sabini kwenda mbele mpaka mwanzoni mwa 2011 wote waliozaliwa MPANDA wamezaliwa katika mkoa wa RUKWA na kwa wale waliozaliwa / watakaozaliwa mwishoni mwa 2011 (sijui mpaka lini) watakuwa wamezaliwa mkoani wa KATAVI
Naomba tuwekane sawa hapa wale waliozaliwa wakati MPANDA inaitwa TABORA halafu RUKWA leo hii wajitambulishe wamezaliwa MKOA gani?
Ni mimi niejua jina la mkoa niliozaliwa, asanteni.